Wadau wa JF na wote ambao mtasoma uzi.
Kuna uzi umeanzishwa na idawa kuwa Lowasa ameshindwa kuhutubia mkutano wa Tunduma leo hii na kuzua sababu nyingine ambazo ni uwongo.
Usahihi au ukweli wa jambo hilo ni huu. CDM kesho wana mkutano mkubwa Mbeya Mjini, hivyo gari gari mbili zipo jijini...
Unatakiwa uhamasishe watu kupiga kura siyo wasiende kupiga kura kwa hofu ya kuibiwa. Hilo ndilo jambo la msingi. Halafu uzi kama huu sikutegemea utoke kwako, ni shahiri dhahiri umekengeuka.
Kulinda kura watu watalinda kwa sababu ni vituo vichache ambavyo vipo 100mt bila kuwa na makazi ya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.