Ili kuboresha elimu yetu,serikali iweke mkakati kabambe wa kuhakikisha watumishi wa umma wa ngazi zote wanasomesha watoto wao katika shule za umma ili waweze kusimamia kwa dhati uboreshaji wa elimu Tanzania
Asante kwa mada nzuri kwani elimu ya soko la hisa bado haijaeleweka kwa weng hapa Tz. Vipi ninawezaje kuhamisha umiliki wa hisa kutoka kwangu kwenda kwa mtoto mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.