Recent content by LordRapaar

  1. L

    KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

    Kwa uelewa wangu, adhana zinafanywa na kila msikiti ili kuwaita watu waende kuswali. Adhana kuwa moja kwa Posta na nyingine Kariakoo, sijui umechukua kanuni gani. Hata hapa Magomeni Mapipa kuna Makanisa mawili karibu karibu. Kila siku tunasikia kengele kutoka Makanisa yote hadi tumezizoea...
  2. L

    PreGE2025 Siasa chafu dhidi ya Mwigulu ni woga wa 2030

    Kushinda madaraka maana yake nini. Endeleeni kupambana na maadui wa amwiguku. Sisii wananchi tuna Rais is a tu kwa 2030; ambaye siyo Mwigulu. Mwigulu hafai kuwa Rais, ni mbabaishaji sana
  3. L

    DOKEZO Wilaya ya Kondoa Rushwa ya Uchaguzi inagawiwa nje nje. TAKUKURU mko wapi?

    Tulisikia kuwa TAKUKURU watakuwa macho sana na vitendo vyaRushwa wakati hiu wa uchaguzi. Inawezekana hili likawa kweli au siyo kweli. Huku kwetu Rushwa inagawanywa waziwazi mchana kweupe. Katika kura na maoni za UWT, mbunge wa Kondoa alipewa kazi ya kusafirisha wajumbe kutoka maeneo yote kwenda...
  4. L

    Utaratibu wa kumiliki silaha za moto ukoje?

    Wewe hustahili kumiliki kumiliki Silaha. Wachana nayo.
  5. L

    Ameimaliza Tanganyika, Amekamilisha Zanzibar Huru. Mkileta za Kuleta anarudi kwao Zanzibar

    HAYO MANENO YASIYOKUWA YA MSINGI NI YAKO. UNAMUWEKEA MAMA MDOMONI MWAKE. HIYO NI FITNA, NA FITNA NI MBAYA KULIKO KUUA
  6. L

    PreGE2025 Kwahiyo Bunge mnatuambia Tarimba alisoma Cheti, Diploma na Degree kwa wakati mmoja? Ile Masters imeenda wapi?

    Huyu anatakiwa kukatwa katika kugombea Ubunge. Jina lake lisirudi kanisa
  7. L

    Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

    Roho mbaya na ubahili wa Wapare ilitokana na mazingira na maisha magumu. Hii ni baada ya kufukuzwa kutoka kwenye ardhi nzuri na Wachaga - Wapare = Wafukuze. Kwa mazingira magumu katika ardhi kavu ya milima, ubahili na roho mbaya ilibidi ziwa ni silaha za maisha. Maisha haya ndiyo wameyazoea...
  8. L

    Udini mbele za Mungu ni ujinga na upumbavu mkubwa, Mungu anatazama dhambi na sio dini, hakuna dini inayostahili Mbinguni bali wema diyo wanaostahili

    Wewe nani amekwambia hayo maneno. Je Mungu hakutoa muongozo wowote wa namna ya kuishi hapa duniani?
  9. L

    Bodi ya ligi kupanga ratiba mpya ya derby ni kudharau maamzi ya CAS

    Mwamba Hili suala halikuzungumzwa kule CAS. Hakuna Kikao kilichofanyika kulizungumzia hili. Rufaa ya Yanga imekwenda CAS pre-maturely. Huwezi kwenda kukata Rufaa Mahakama ya Rugani wakati kesi haijatolewa uamuzi Mahakama Kuu. Sisi watu wa Yanga tukoje?
  10. L

    Tangu Taifa la Tanzania lipate uhuru hajawahi kutokea mwanasiasa bora na mzalendo kama Lissu. Kila atakayeshindana naye ataanguka

    Humjui vizuri Lissu. Anachoweza ni kupinga kila siku na kudeal na controversial issues zaidi ya maendeleo. Hana mipango miziri. Mpeni kwanza mida aende akaione familia yake. Akizidi kukaa hapa atachanganyikiwa.
  11. L

    PreGE2025 Siasa chafu dhidi ya Mwigulu ni woga wa 2030

    Ukitaka kujua kuwa Mwigulu siyo Presidential Material; angalia uamuzi wake wa kuandika mawe yote kwa njia ya Mwanza. Hiyo ni akili ndogo sana. Akili ni ndogo kiasi cha kutojua kuwa watu wanaomteua mtu kugombea urais ni viongozi wacchache wa Chama chake. Na siyo umati wa watu wanaosoma mawe ya...
  12. L

    Karia Akiendelea Hivi, Yanga hatumpi Kura Mama Samia

    Sina uhakika na tatizo la Karia kwa upande wa Yanga. Tatizo langu ni kuna uhusiano gani kati ya kura za Samiha na kazi ya Karia. Ni vyema sisi watu wa Yanga tukawa na mawazo ya kiungwana mbeke ya watu wenye busara
  13. L

    Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

    Maswali Matatu muhimu 1) Je wale Makomandoo wa Yanga wana akili timamu? 2) Yanga waliendaje uwanjani wakati Mechi imeahirishwa? 3) Meneja wa Uwanja wa Taifa aliwafunguliaje Yanga milango wakati Mechibimeahirishwa? Kuna matatizo makubwa kwenye uongozi wa Yanga na uongozi wa uwanja wa Mkapa
Back
Top Bottom