Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.
Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.
Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba...
Watu wote waelewe kuwa the fact kwamba baba yako au ndugu yako yeyote wa karibu amefariki na wewe umebaki haimaanishi kwamba automatically mali zake ni zako no, Kuna utaratibu wa kisheria wa kuzihamisha. Marehemu anapofariki Mali zake zinakuwa katika jina lake.
Ndugu wa karibu lazima muombe...
Kama hamkwenda mahakamani mgawanyo wenu ni batili. Na hata mkiuza hiyo nyumba mauziano yatakuwa batili bila barua ya usimamizi wa Mirathi kutoka mahakamani.
Hakunaga shortcut kwenye sheria. Madhara yake mtayakuta mgogoro ukitokea na mkapelekana mahakamani.
Idhaa ya kiswahili ya DW inaripoti kuwa nchi jirani na Urusi wanayochangia mpaka ya Finland ipo mbioni kujiunga na Jumuiya ya lujihami ya nchi za Magharibi NATO.
Nchi hiyo imekuwa haifungamani na upande wowote Kwa miaka mingi toka ijitawale ikihofia kumkwaza jirani yake (Urusi). Kiu ya wananchi...
MAHAKAMA YA RUFANI: CMA HAINA MAMLAKA WAFANYAKAZI WA UMMA
Mahakama ya Rufani ya Tanzania imesema Tume ya Usuluhishi ya wafanyakazi (Commission for Mediation and Arbitration-CMA) haina mamlaka ya kusikiliza na kutolea maamuzi kesi zinazohusu migogoro ya wafanyakazi wa umma.
Kupitia kesi ya...
Waungwana Salam,
Wakili Msomi Jeremiah Mtobesya aliyekuwa miongoni mwa jopo la mawakili wa utetezi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni miongoni mwa waliopendekezwa kuwania nafasi ya Urais wa Chama Cha wanasheria wa Tanganyika (TLS).
Mpaka sasa wagombea waliopendekezwa ni watatu wengine ni...
Inasikitisha sana wakati ilipaswa viongozi ndiyo watoe elimu Ili wafanyakazi wajue njia stahiki wanazopaswa kuzifuata matokeo yake viongozi wanawapotezea muda wafanyakazi.
Nadhani ni jukwaa sahihi!
Mimi ni wakili wa kujitegemea ninayefanya shughuli zangu jijini Dar Es Salaam. Miongoni mwa kesi ninazokutana nazo ni kesi za migogoro ya kazi (Labour Disputes). Migogoro mingi ninayokutana nayo ni migogoro inayohusiana na mfanyakazi kufukuzwa kazi pasipo kufuata...
Wewe amini hivyo lakini tupo tunaoangalia mambo Kwa namna ya tofauti kidogo. And I hope hata Mbowe anajua ndiyo maana imekuwa rahisi kwenda kuonana na Mama Samia. Tangu Walinzi wake wamekamatwa July 2020 alikuwa anafuatilia kinachoendelea so anajua nani ni adui yake na nani siyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.