Nimesikia habari za Maridhiano na nimesikia ujio wa Rais Mstaafu wa nchi jirani kujaribu kukutana na vyama vya siasa nchini na kufanya mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo hayo yanatarajiwa kufanyika kwa muda wa siku kadhaa kuanzia kesho.
Wakati hayo yakiendelea sote tunajua kuwa lipo zuio...
Hamna mtu kutoka nje halafu Kama kawaida yao wanawafuata ndani majumbani na bunduki kuja kuwaua Kama walivyofanya 29 Oct. Wale waliobaki ndani ndiyo waliuawa kwa wingi zaidi. Safari hii itakuwa ngumu sana kuwaaminisha wananchi kuwa kubaki ndani ni salama kuliko kutoka nje
Hii ya kutufuata watu ambao hatujatoka majumbani na kutuua inatusikitisha Sana. Tunajiuliza siku nyingine ikitokea tufanyeje? Maana hata tukibaki nyumbani tunajua watatufuata tu hivyo hatutakuwa salama.
Serikali hili la kufuata watu majumbani ni kosa kubwa Sana wakati mwingine watu tutaogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.