Recent content by Lord Diplock MR

  1. Lord Diplock MR

    Madam Rita: Hakuna aliyewahi kunipenda kama Reginald Mengi, nilidate naye Kwa miaka 15

    Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi. Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi. Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba...
  2. Lord Diplock MR

    Naomba msaada kama kuna sheria ya kunisaidia katika hili

    Watu wote waelewe kuwa the fact kwamba baba yako au ndugu yako yeyote wa karibu amefariki na wewe umebaki haimaanishi kwamba automatically mali zake ni zako no, Kuna utaratibu wa kisheria wa kuzihamisha. Marehemu anapofariki Mali zake zinakuwa katika jina lake. Ndugu wa karibu lazima muombe...
  3. Lord Diplock MR

    Naomba msaada kama kuna sheria ya kunisaidia katika hili

    Kama hamkwenda mahakamani mgawanyo wenu ni batili. Na hata mkiuza hiyo nyumba mauziano yatakuwa batili bila barua ya usimamizi wa Mirathi kutoka mahakamani. Hakunaga shortcut kwenye sheria. Madhara yake mtayakuta mgogoro ukitokea na mkapelekana mahakamani.
  4. Lord Diplock MR

    Finland kujiunga NATO

    Idhaa ya kiswahili ya DW inaripoti kuwa nchi jirani na Urusi wanayochangia mpaka ya Finland ipo mbioni kujiunga na Jumuiya ya lujihami ya nchi za Magharibi NATO. Nchi hiyo imekuwa haifungamani na upande wowote Kwa miaka mingi toka ijitawale ikihofia kumkwaza jirani yake (Urusi). Kiu ya wananchi...
  5. Lord Diplock MR

    Mahakama ya Rufani: Maamuzi ya Rais kuhusu Wafanyakazi wa Umma ni ya mwisho

    MAHAKAMA YA RUFANI: CMA HAINA MAMLAKA WAFANYAKAZI WA UMMA Mahakama ya Rufani ya Tanzania imesema Tume ya Usuluhishi ya wafanyakazi (Commission for Mediation and Arbitration-CMA) haina mamlaka ya kusikiliza na kutolea maamuzi kesi zinazohusu migogoro ya wafanyakazi wa umma. Kupitia kesi ya...
  6. Lord Diplock MR

    Wakili Jeremiah Mtobesya ajitosa Urais TLS

    Ndiyo anaruhisiwa
  7. Lord Diplock MR

    Wakili Jeremiah Mtobesya ajitosa Urais TLS

    Waungwana Salam, Wakili Msomi Jeremiah Mtobesya aliyekuwa miongoni mwa jopo la mawakili wa utetezi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni miongoni mwa waliopendekezwa kuwania nafasi ya Urais wa Chama Cha wanasheria wa Tanganyika (TLS). Mpaka sasa wagombea waliopendekezwa ni watatu wengine ni...
  8. Lord Diplock MR

    Wakuu wa Wilaya na Mikoa ni chanzo Cha wafanyakazi kupoteza haki zao za kisheria

    Ni kweli nadhani elimu juu ya uwepo wa CMA unaohitajika
  9. Lord Diplock MR

    Wakuu wa Wilaya na Mikoa ni chanzo Cha wafanyakazi kupoteza haki zao za kisheria

    Inasikitisha sana wakati ilipaswa viongozi ndiyo watoe elimu Ili wafanyakazi wajue njia stahiki wanazopaswa kuzifuata matokeo yake viongozi wanawapotezea muda wafanyakazi.
  10. Lord Diplock MR

    Wakuu wa Wilaya na Mikoa ni chanzo Cha wafanyakazi kupoteza haki zao za kisheria

    Nadhani ni jukwaa sahihi! Mimi ni wakili wa kujitegemea ninayefanya shughuli zangu jijini Dar Es Salaam. Miongoni mwa kesi ninazokutana nazo ni kesi za migogoro ya kazi (Labour Disputes). Migogoro mingi ninayokutana nayo ni migogoro inayohusiana na mfanyakazi kufukuzwa kazi pasipo kufuata...
  11. Lord Diplock MR

    CCM’s svengali hold

    Wewe amini hivyo lakini tupo tunaoangalia mambo Kwa namna ya tofauti kidogo. And I hope hata Mbowe anajua ndiyo maana imekuwa rahisi kwenda kuonana na Mama Samia. Tangu Walinzi wake wamekamatwa July 2020 alikuwa anafuatilia kinachoendelea so anajua nani ni adui yake na nani siyo.
  12. Lord Diplock MR

    CCM’s svengali hold

    Eti? Hehehe
  13. Lord Diplock MR

    CCM’s svengali hold

    Ndiyo ameshapondua tayari, najua utasema amechekewa lakini Kila mtu anajua angekuwepo yule kiongozi wa malaika akina Mbowe wangeozea jela
Back
Top Bottom