Kama yale maneno magufuli aliyowaambia mawaziri wake yalitoka moyoni basi huyu hatampongeza atamfukuza...alisema nendeni mkafanye kazi bila kuwabagua watanzania kupitia chama chao au rangi wala kabila..
huyu Makonda jinsia yake ni ipi? nimeona picha akimfunga jinsia ya mme viatu..au ndo wale museveni aliokataa kuwatambua?? mtu kama huyu unategemea nini toka kwake ana act ki kike na sio ukike wa kiafrica ni wakihindi maana ndo hata km umemlove mtu unampiga kibao kikuchikuchi
hahahaha hahahahah uwiiiiii... kweli hiki kichekesho kimenivunja mbavu... tutumie vichekesho vingine tafadhali...hivi Migiro walimwambiaje tena huko? na ukilinganisha Migiro na Jk kwa utendaji na uzoefu kimataifa nani zaidi vile...
hivi ukiwa ccm bila kuitukana bavicha hupandishwi cheo...ni wapi imeandikwa mtoa mada ni bavicha...mipasho anayo mwenyekiti wa ccm taifa ndo kafundisha kina nape na makonda
Nchi haikuwa na rais kwa miaka kumi... Kila mtu alikuwa anajifanyia laki...huyu jk ni mswahili mno aisee yani kweli ccm mbadilike sio kumuingiza tu mtu kwa kuwa anawapa kitu kidogo...kama sio shemeji yetu mkapa ungekuta leo tuna mswahili mwingine membe..
Lema kapige kazi baba rais wa sasa sio wa visasi kama aliyepita... Huyu anataka wapiga kazi na wengi ndo nyie....tunasubiri kukupa tena kura za ndio 2020...
ukweli tunaujua...Magufuli atamheshimu sana Lowassa hata kama nje atajidai kumsakama moyoni anajua kilichotokea Dodoma.... Walitaka Membe ndo aingie ndo maana wakamweka na na watu ambao kura zingepigwa kihalali lazima membe angeshinda... Lowassa alivyoitwa na Kina Mkapa na kuambiwa kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.