KABISA ni team Lowasa. MTU ANAYETUMIA HELA ZA KUFURU NI LOWASA. Halafu hao matajiri wake anaopenda kuwataja kwamba wanamsaidia yeye atawalipa nini? HATUKUBALI KUUZA NCHI YETU TUKIONA. NEVER HAPPEN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
- EL ni muasisi wa ufisadi na ni FISADI nambari one Tz
- an roho mbaya sana na anaweza akamfanya mtu chochote pale anapotofautiana naye.(amewafanyia vibaya watumishi wengi na wafanya biashara ambao hawamhusudu ikiwepo kuhamishiwa porini kabisa)
- an kisasi kibaya sana (anachukua kitu moyoni)- (...
wewe orodhesha Vs mabaya na uzito wake lakini pia sababu iliyomfanya kufanya hayo mazuri;
MAKE MIMI NAJUA NI KWA MASLAHI YAKE BINAFSI. either ya kiuchumi au ya kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.