Kwani huwajui friends of Lowassa, ambao miongoni mwao wanaongozwa na King maker RA ambaye yumo katika orodha ya Forbes ya the wealthiest persons in the World.
Wengineo ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa, mwingine ni yule mama mnunuaji mboga ya shilingi milioni 10 kwa siku na yule mzee wa TICT's ambaye kampuni yake inaweza hadi kuweza kumuingizia zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa siku.
Unataka list zaidi?
Nadhani hiyo list inaweza kukupa mwanga na kujua kumbe huyo jamaa kuweza kufungua pazia kwa kutangaza nia ya kuutaka Urais kwa kutumia zaidi ya bilioni 1 ni jambo ambalo ni jepesi mno kwake!
Mkuu unapiga chenga bure
1. Rostam Azizi (wealthiest)
2. Andrew Chenge (nyoka wa makengeza)
3. Anna Tibaijuka (hela za mboga)
4. Nazir Karamagi (TICT,s)