Recent content by lonyorengai

  1. lonyorengai

    Waziri Mkuu Majaliwa apiga marufuku mikutano ya kisiasa

    Kushukuru wananchi wakati umeshindwa ni uchuro na ni jambo linaloashiria kukosa mada. Wananchi wanataka Maendeleo sio siasa za kutumia mianya ya shida zao. Acheni serikali ifanye kazi
  2. lonyorengai

    Bomoa Bomoa Awamu ya 2: Eneo la Jangwani - Dar es salaam

    Mnaoshabikia ubomoaji wa nyumba za watu mjipange yakiwatokea ninyi. Haki za binadamu zizingatiwe ktk kutekeleza maagizo ya serikali. Mbona wakwepa kodi walipewa siku saba? Kwani sheria si ilishakuwepo wangewekwa rupango direct? Mnaonea dagaa, kumbe papa mnawagwaya. Mngeanzia zile za mikocheni na...
  3. lonyorengai

    Dr. Hamis Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Amana

    Nafikiri ifikie mahala usanii uishe kwa viongozi wetu. Hujajua hata ofisi yako ilipo halafu unaanza kwenda kushtukiza Amana. Msikurupuke na kuwatia kiwewe wafanyakazi katika maeneo yao bure. Fanya utafiti wa changamoto za watz zilizopo chini ya wizara yako. Tafuta suluhisho la haraka na la...
  4. lonyorengai

    Amerudi Kwenye Baraza, Mpiganaji Aliyepigana Hadi Risasi Ya Mwisho!

    Sospeter ni mzalendo na muadilifu. Asiyempenda akameze wembe. Mafisadi walimpiga vita bure tu. Mwenye haki atainuliwa
  5. lonyorengai

    Tibaigana: Nchi inahitaji Rais dikteta

    Ni kawaida ukikabidhiwa taasisi au shirika au serikali ambayo haifanyi vizuri kukidhi nahitaji ya wadau kwa kuwapatia huduma au bidhaa tarajiwa, unapaswa kufuata utaratibu wa kuwezesha matokeo chanya yatokee kama anavyofanya magufuli. Nampongeza na wala si udikteta Bali ni utaratibu tu wa...
  6. lonyorengai

    Mshahara wa Nehemia Mchechu wa NHC ni USD 19,000 kwa mwezi

    Kuna vigezo vingi vya kuangalia wakati wa kuweka viwango vya mishahara mahali pa kazi. Kwanza kabisa ni uwezo, uzoefu na taaluma ya mtu mwajiriwa. Pili, ushindani uliopo ktk soko la ajira na la tatu ni kujitofautisha kiushindani. Matokeo ya kazi ya mtu pia humuongezea au huweza kumfanya mtu...
  7. lonyorengai

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    karibuni JF. kweli tumeteseka sana. Huo muda tulirudi stone age
  8. lonyorengai

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hili la Segerea kuwa na Anatropia ni seriuos sana. Watu hawasomi jina wanaangalia vidole viwili tu!! Ukawa msituangushe nendeni vituoni muelimishane. Ushindi tunaoutaka ni wa kishindo si kiduchu. CHAGUA MTATIRO wa CUF
  9. lonyorengai

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    kweli kabisa UKAWA wanapoteza kizembe jimbo la Segerea kwa kuwa huyu dada anapigiwa kura sana. Nimeshuhudia watu huku kinyerezi wakisema wameipigia chadema na si CUF. Elimisheni watu kuhusu hili. Mawakala pia wanatembeatembea hadi umtafute ndani ya kituo. Hii italeta ushindi mdogo bila sababu
  10. lonyorengai

    Kulala kwa Lowassa Msibani kuwe Funzo kwa Wapiga kura Tanzania

    Nashindwa kuelewa kwanini hata washabiki wa ccm ni waongo kama viongozi wao!! Duh!! Hamna mbinu zingine zaidi ya kutunga uongo kama huo??. Mtakula malimao hadi mkatike ndimi mwaka huu. Kwaherini na msirudi tena baada ya 25.10.2015
  11. lonyorengai

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    hongera dr. sinare kwa maamuzi yako ya busara. Huna unafiki ktk maamuzi yako
  12. lonyorengai

    Wananiudhi wasiotaka kupiga kura 25/10/2015

    Nimekuwa nikisikia baadhi ya watu wakisema kuwa hawatakwenda kupiga kura. Wanatoa sababu nyingi ikiwemo dhana kwamba kumpigia mtu kura ni kumpatia ulaji. Wengine wamejawa na hofu ya fujo kutokea siku ya uchaguzi hivyo kuchagua kubaki nyumbani. Kuna maneno yanaenezwa pia kuwa watu wanunue...
  13. lonyorengai

    Kikwete: Atakayekaidi na kubaki kituoni kulinda kura "HATAVUMILIWA"

    Bakia umbali usiopungua mita mia mbili na si vinginevyo. Sheria iko wazi. Sio kubaki kituoni kabisa. Ukawa tutashinda kwa kishindo siku hiyo ya uchaguzi tukipiga kura zetu na kuzingatia sheria za uchaguzi na si maneno tofauti na sheria. Hakuna mtu yupo juu ya sheria. Icc inamuhusu yeyote...
Back
Top Bottom