Recent content by lonis

  1. lonis

    GE2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

    mtajuta kumfahamu magufuli hasa hasa nyie ambao mmeajiliwa.mnaogopa kujiajili
  2. lonis

    UKAWA: Safari yenu imefika mwisho leo 29.10.2015 - Kingunge, Sumaye, Lowassa kutimka

    Hatuja kata tamaa ya kuleta maendeleo ya kijamii.magufuli hawezi kuleta maendeleo ya nchi hii coz ccm ni wabaya.
  3. lonis

    Mgombea Urais wa CHADEMA, E. Lowassa na mgombea mwenza wanapeleka NEC petition yao

    yapu ni ujinga Wa watanzania.wanazani wanawakomesha wapinzani kumbe wanajikomesha mwenyewe.wrote walio ccm mtaniambia dictetor magufuli atakavyo iendesha nchi.
  4. lonis

    GE2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

    asanteni tume kwa kutangaza Rais Wa Tz.2015
  5. lonis

    Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

    Poa kaka,but hii nchi sasa ni ya kibabe maana mmechukua nchi kwa mabavu.mfano huku kwetu kura za magufuli amepewa lowassa na za lowassa kapewa magufuri.huo ni ubabe Wa ccm.
  6. lonis

    Tudumishe amani kwa kukubali matokeo

    sawa ndugu yangu inatakiwa kuwa wazalendo.nikiona tu MTU amevaa kijani natamani kutapika.
  7. lonis

    Tudumishe amani kwa kukubali matokeo

    ndugu ww ni msaliti na siyo mzalendo Wa chama.
  8. lonis

    NEC, ZEC na CCM wameumbuka kwenye uchaguzi mkuu Tanzania 2015

    safi na lowassa apinge.
  9. lonis

    Ushauri: Vyama vya Upinzani vifutwe, kibaki CCM pekee kama chama dola

    ila ww kweli umepew limbwata na ccm.ivi huoni manyanyaso ya ccm.et kibaki madarakani kama chama tawala.Huku kwetu ccm ikipita tutahama wanchi wote na kutafuta pa kuishi.wanabeba baiskeli za wananchi et uchafu alafu kugomboa ni laki 3.uwo c ni wzi
  10. lonis

    Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

    Watanzania hatuna akili.unamshangilia MTU anapita kwa wizi cyo kwa kupendwa na wananchi.humu kwenye jf asilimia kubwa ni upinzani.je hizo kura za USHINDI znatoka wapi.miaka mitano tena ya uchaguzi cpigi kura tena..
  11. lonis

    Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

    bora kama anaushahidi agome tu warudie kupiga kura au kuhesabu
  12. lonis

    UKAWA wakutana kwa dharula

    NEC ya ccm na ndiyo maana wanatangaza mambo yayochukuliwa na ccm.
  13. lonis

    Ushauri: Vyama vya Upinzani vifutwe, kibaki CCM pekee kama chama dola

    yapu mjeda,bora iwe ivyo tu
Back
Top Bottom