Recent content by Londonboi

  1. L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Musiba: CCM walikusanya wasanii Dodoma bila faida na CHADEMA haikuzimwa

    Ni kweli kabisa zama za kutumia wasanii kwenye mikutano ya siasa ni upuuzi mtupu. Watu wameelemika wanataka kusikia hoja za mashiko kuhusu mustakabali wa taifa letu.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kuhusu serikali kununua mabehewa ya SGR kwa ajili ya biashara sioni kama lilikuwa wazo la busara.

    Unajua lakini maana ya PPP nilioelezea kwenye mada?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kuhusu serikali kununua mabehewa ya SGR kwa ajili ya biashara sioni kama lilikuwa wazo la busara.

    Wanalazimisha bei kuwa juu ili kufidishia gharama za uendeshaji kuliko uhalisia wa kipato cha wananchi wengi.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kuhusu serikali kununua mabehewa ya SGR kwa ajili ya biashara sioni kama lilikuwa wazo la busara.

    Kwanza ieleweke wazi kwamba kazi kubwa ya serikali katika uwanda wa biashara ni KURATIBU, KUWEZESHA NA KUTOA MIONGOZO NAMNA BORA YA UWEKEZAJI kwa wafanyabishara wazawa na wageni kutoka nje. Tanzania kuingia kununua mabehewa na ndege kwa ajili ya kufanya biashara ya usafirishaji naona ni...
  5. L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Athari zitakazo jitokeza endapo CHADEMA (chama kikuu cha upinzani) haitashiriki uchaguzi Mkuu 2025

    NO REFORM NO ELECTION 🇹🇿✅✔️
  6. L

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa Serikali ya Tanzania kuibana Serikali ya Israel kutuambia miili ya Watanzania ipo wapi?

    Aisee wewe jamaa, udini utakuua. Yaani joshua Mollel alipigwa risasi ni Hamas huku wanatamka maneno yenu ya allahu wakbar halafu huoni huo unyama wa kuuliwa mtanzania mwenzako kisa unalinda ndugu zako waarabu wa hamas. Hakika Mungu akusamehe
  7. L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa rafu nilizoziona za Chama cha Mapinduzi kwenye mkutano mkuu itoshe kusema Lissu ni tishio kwa chama kile hivyo hawezi kushinda uchaguzi

    Tundu Lissu ameshashinda kura za mioyo ya watanzania ila kwenye box la kura anaenda kufanyiwa unyama. Baada ya uchaguzi aende NSSR MAGEUZI apeperushe bendera ya urais huku makamo wake akiwa Boniface Mwambukusi.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mbinguni kuna amani na furaha ya milele. Ndugu tuweke malengo ya kuishi milele kwa Mungu

    Unajua watu wameelekeza imani zao kwa kuona kwa macho yao. Ndio maana ya picha hizo, kikubwa usiabudi kila picha unayokutananayo. Pata maarifa tu kutoka kwenye picha
  9. L

    JamiiForums Tanzania Mbinguni kuna amani na furaha ya milele. Ndugu tuweke malengo ya kuishi milele kwa Mungu

    Yawezekana nyakati hizi unapitia changamoto fulani, nakuombea usibaki kwenye hilo sononeko bali mtazame Mungu ukajipe tumaini kwake na mambo yako yatakuwa sawa. Kikubwa mwanadamu pale alipo chagua kutomsikiliza Mungu na kuamua kufuata njia zake, Mungu alimpa uhuru wa kujiamulia mambo yake...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Ungefanyeje ili kurejesha amani nchini Congo DRC?

    Ningefanya mabadiliko ya majenerali wa jeshi na kusimika kambi za makomando hatari huko kwenye ngome ya M23. Nikishasafisha M23, nasimika kambi za makomandoo wa kijeshi kwenye mipaka ya Rwanda, Burundi na Uganda yaani huko mipakani hakuna paka yoyote kukatiza kuingia DRC
  11. L

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Yusuf Kagoma kufanya kazi chafu pale kwenye dimba la katikati, Simba iongeze kiungo no. 6

    Ofa ambayo Simba wataipeleka kwa Feitoto wai switch chap ili kumpata ADOLPH BITEGEKO
  12. L

    JamiiForums Tanzania JF Music Awards 2024: Karibu uwajue washindi wa tuzo hizi za muziki

    Kwa sasa tuli base sana kwa mashabiki wa mtaani kwa eneo dogo, next time utafikiwa
  13. L

    JamiiForums Tanzania Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

    Ni holy land kulingana na maandiko ambayo ndio ulikuwa mpango wa Mungu lakini tujue pia mpango wa shetani ni kujaribu kuchafua kila kitakatifu cha Mungu. Suala la ushoga hadi pale Madina alipozikwa mtume unafanyika haswa.
  14. L

    JamiiForums Tanzania Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

    Kobaz mmehamia kwa YEMEN
Back
Top Bottom