Swali zuri sana,Huko ndiko wanapooona kwamba kuna viongozi wanaong'ang'ania madarakani,hivyo hapo kuna walakini!Na kwanini wanaomba kuwepo kwenye umoja wa Afrika?
Kwa kweli hakuna kama nyumbani!Nimeishi na nimetembelea nchi zote ambazo umezitaja hapo juu.Lakini inasikitisha dharau,ubaguzi na kodi unazotozwa ukiwa ndani ya nchi hizo.Unapoondoka au kuoa mwanamke wa kwao hapo dnipo dharau na ubaguzi unapooneshwa live.Mwanamk mweupe hawzi ishi nawewe maisha...
Lakini,hata Dr Slaa naye si alitoka CCM?Je umeangalia ni wanachama wangapi wameogezeka baada ya Lowassa,Ngombale Mwiru na Mama Regina kujiunga na CHADEMA?Tuangalie pande zote ili kuepuka kuegemea upande mmoja wa shillingi.
Hebu chukua kalamu au andika hapo chini.
Jedwali la kwanza-%64+5+30=99%.
Jedwali la Tatu-62+25+2+1+0+2+2+5=99%
Jedwali la Nne- % 60+26+3+1+1+3+6+2=102% Ni vipi kuna ukweli hapa kweli?
Tamko hili au onyo hili pamoja na maelekezo yote mengine kuhusu uchaguzi mkuu yalitakiwa kutolewa na tume ya uchaguzi,na wala sio Wizara ya mambo ya nje,vipi tena?Membe unajua kazi yako vizuri?
Kwanini wawapeleke China?Kwanini wasiwaajiri wahadhiri kutoka nje waje wafundishe hapa hapa?Huu ni ugonjwa wa akili.Manufaa mengi zaidi kama tukiajiri wahadhiri waje vyuoni mwetu wawafundishe wanafunzi wetu.Hii ndio dira sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.