Kwa miaka karibu miwili mfululizo, sijawahi kuona mamelodi ameondoka uwanjani akiwa amefungwa na mpinzani yeyote iwe club bingwa au ligi ya home, mara nyingi anatandika tu na mara chache snaa ni droo, ngoja tuone leo.
Bure kabisa, full kupanic bila sababu za msingi, ebu chukulia tu issue ya jana ya kushake kwa bets, watu walijaa upepo mara ooooo jamaa wanataka kuedit mikeka yetu mara ooooo mara vile,hvi umeshawahi kueditiwa mkeka mpk upanik?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.