Recent content by loliondokwetu

  1. loliondokwetu

    Jipatie Perfumes & Deodorant DSM, Nafanya delivery, Mikoani Natuma

    Hii kwa experience yako inakaa mda gan kwwnye nguo??
  2. loliondokwetu

    Maoni: Mechi ya Simba na Yanga huenda ikaghairishwa kwa sababu ya mvua

    Yametimia japo mvua kubwa uliyosema imenyesha jpili. Huenda mechi ikaahirishawa kama ulivyotabiri.
  3. loliondokwetu

    Full Time: AFL: Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg 0-1) | Cairo International Stadium | 01.11.2023 |

    Kwa miaka karibu miwili mfululizo, sijawahi kuona mamelodi ameondoka uwanjani akiwa amefungwa na mpinzani yeyote iwe club bingwa au ligi ya home, mara nyingi anatandika tu na mara chache snaa ni droo, ngoja tuone leo.
  4. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Option zipo chache sana, so ni rahis kuchana mkeka.
  5. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Options nyingi hawana, ni hilo tu mkuu.
  6. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bure kabisa, full kupanic bila sababu za msingi, ebu chukulia tu issue ya jana ya kushake kwa bets, watu walijaa upepo mara ooooo jamaa wanataka kuedit mikeka yetu mara ooooo mara vile,hvi umeshawahi kueditiwa mkeka mpk upanik?
  7. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mbona wametoa maelezo kuwa kuna technical problem?? Nani amekuambia kuwa utatapeliwa?? Hii ni kawaida sana na pesa yako utapata.
  8. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ata mimi nashangaa, et kampuni ifilisike kwa kudaiwa milion 100
  9. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Babu unajibu kisomi na kiumakin snaa, settled pia ipo kwa alieweka first half result, hyo kama imekuwa ndivyo sivyo analost.
  10. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daaa alafu kuna hela ya maana naisikilizia toka kwake
  11. loliondokwetu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Liverpool mpk sasa anaongoza 2 kwa moja, mo salah kaingia kambani mara mbili.
Back
Top Bottom