Recent content by Lolchala

  1. L

    Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong

    Hata iwapo wakuu wanayo listi nani nani atakubali amwagiwe tindikali kama Waandishi wa habari? Inatakiwa kioangozi atakayejitoa Mhanga kwa ajili Usalama wa Jamii ya TZ.Mtandao wa Madawa ya kulevya Itakuja kujisaji kuwa Chama-CCM na CHADEMA.Ifuatiliwe Ni njemba gani aliyewatuma Sokoni-Kama kweli...
  2. L

    Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong

    Hata iwapo wakuu wanayo listi nani nani atakubali amwagiwe tindikali kama Waandishi wa habari? Inatakiwa kioangozi atakayejitoa Mhanga kwa ajili Usalama wa Jamii ya TZ.Mtandao wa Madawa ya kulevya Itakuja kujisaji kuwa Chama-CCM na CHADEMA.Ifuatiliwe Ni njemba gani aliyewatuma Sokoni-Kama kweli...
  3. L

    Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong

    Hata iwapo wakuu wanayo listi nani nani atakubali amwagiwe tindikali kama Waandishi wa habari? Inatakiwa kioangozi atakayejitoa Mhanga kwa ajili Usalama wa Jamii ya TZ.Mtandao wa Madawa ya kulevya Itakuja kujisaji kuwa Chama-CCM na CHADEMA.Ifuatiliwe Ni njemba gani aliyewatuma Sokoni-Kama kweli...
  4. L

    NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012

    Sio research kama umezoea neno la KUHAKIKISHA-wa kwangu alipata p28-sasa hivi hajabadilika kitu ni ilele,kama unataka kuhakikisha sema nikutumie namba.Hii ni Machungu zaidi ya kwanza-Watanzania mahakama gani inafaa kwenda kwa hili?!!!!!
  5. L

    WHAT? Uamsho Yakusanya Saini 60,000 za Kuhoji Muungano wa Tanzania

    Kweli kuna watu nyayo zao za miguu zinaelekea nyuma wakati wanafiri-Kenya,Uganda na TZ wanaungana-Africa wanatafuta kuungana! Waacheni yawezekana wametumwa,watakapokatiwa umeme watajua umuhimu wa muungano.Ujinga huja kabla ya AKILI.
  6. L

    Waliofeli kidato cha nne 2012 kujiunga kidato cha tano 2013

    Chuo Kwa ajili Division *s ipo yadiv Divi Ddi
  7. L

    Mulugo: Wizara kuwafanyia wanafunzi asilimia kazaa ya mtihani ili kuongenza ufahulu

    Hili yawezekana ni muujiza!!!Na hao wa 2012 waliofeli kidato cha 4 2012 atawafanya nini? Ni kweli kwamba hawakuwa na akili? Mbona kuna waliokuwa wanaongoza kwenye mitihani wanaotungiwa na Waalimu wao? Nafikiri hakuna sera inayofaa ya Elimu Tanzania;ndio maana Waziri anafikiri la kufanya kwani...
  8. L

    Waliobanwa katika ajali wafariki

    Inahuzunisha sana! Ila ni nani wa kumlaumu! Mawaziri kama wanaduwaa kwenye majukumu yao,utadhania siku zote wako Bungeni wako bise.serikali weka vyombo vya tahadhari vituo mbalimbali kwani Ajali haina Taarifa
  9. L

    Eti form4 walifeli mana haka kamchezo kalithibitiwa je ni kweli

    Hakuna Mtaala unaoeleweka,Vitabu Lukuki,haileweki kipi ni kipi. Isifanyike biasha kwenye Swala la Elimu.Waalimu Wanapuuzwa-Sababu hakuna mtptp wa Mbunge anayesoma Shule Kata wala wa Waziri.Wachache wanaifaidi Nchi hii.
  10. L

    Kama Slaa, Migiro, Salim, Lowassa, Shein hawafai kuwa Rais; nani atatufaa 2015?

    Kutamani kwenda Ikulu ni Kutamani kuongoza Watu na kuwatumikia-Kiongozi husababisha mambo au jambo kutokea-he makes things to happen. Shida ni kutamani kwenda Ikulu ili kuondoa shida na matatizo ya nyumbani kwako badala ya kuwa na uchungu juu ya Watanzania walionyuma kwa kila jambo.
  11. L

    Waalimu motisha

    Kama waalimu wangepewa motisha hata ya maneno,yawezekana Wanafunzi Kidato cha 4 wangefaulu. Sasahivi hakuna Mwalimu mwenye hamu ya kufundisha.Unamkorofisha Mama-halafu unasubiri chakula cha Mchana!!Hili nalo linawapata Vigogo-Watoto wao husomea Angani!!!
  12. L

    Mfumo wa elimu

    Hapo mwanzo haukuwepo na mabadiliko ya mitaala za kila wakati kama hivisasa-kila Kiongozi anayeingia kuongoza huja na Ya Kwake,mpaka wanafunzi wanachanganyikiwa-Unashindwa kitabu Gani cha Hesabu hutumika Shule za Msingi na Sekondari. -Pili Shule hizi za kata zingekuw na Maendeleo na Matokeo...
  13. L

    Bunge kusitisha kurusha 'LIVE' vikao vyake!

    Katibu wa Bunge kwa hili la kuzuia kupata habari za Bungeni amechemsha sana,ni haki ya wananchi kupata taarifa ya vikao vya Bunge lao walilochagua-Nini kinaendelea Bungeni iongezwe vyombo vya habari ili kuonyesha kwa Ufasaha zaidi-Hii ndiyo Demokrasia na Kukomaa Kisiasa.Tatizo kubwa ni Wabunge...
Back
Top Bottom