xo chenji tu mpaka nauli....acha kujfanya huelew wew unajua mabaya tu mazurr mbona hutangaz axokujua nani wew peleka huko unafki wako kuiga iga tu ko unatake labda ubebwe mgongon au upakatwe ndo uelewe
uctuchoshe na hiyo mishairi yako ko we hutaki au????habariii ndo iyo tutatawala mpka vitukuu vyako uschoelewa nini unadai nini kwanza CHENJ?NAULI?????? xema upewe
kila penye mafanikio pana vikwazo kadri mtu unaozidi kupiga hatua vikwazo vingi vinaibuka how to overcome ni kutokata tamaa na kuwa na subira ...sisi tulianza na stationary 2011mwanzoni ilikuwa ngumu sana kwa siku unaweza hata usiuze ila kwa biashara kama ile mtu unatakiwa uwe na at least vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.