Recent content by LOGORIDDIM

  1. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal Tanzania

    Sasa ngoma iko hapo. Account yangu ya PayPal ina kina la mmasai wa kenya huko na namba ya safaricom sasa sijui nitalink vp na mpesa yangu yenye namba ya kibongo.
  2. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Asante sn OgaBoy. Ubarikiwe sn. Ukifika wakati wa kununua nitakucheki.
  3. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Habari zenu humu. OgaBoy naomba msaada wako tafadhali na bila shaka kuna wengine pia watanufaika na input yako mtaalamu. Kimsingi mimi ni Graphic designer. Niko Dodoma. Hapa nilipo nimegundua soko la ku print labels za mafuta ya alizeti kwa sababu. 1. Niko ktk mtaa ambao kuna dealers wengi...
  4. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal Tanzania

    Serikali yetu bado haijasikia kilio chetu. Inasikitisha sn.
  5. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Kizuri kula na mwenzio
  6. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Baada ya zaidi ya Miaka 50 nakutana na Rafiki yangu wa Udogoni Salum ''Gordon West'' Khalili

    Assalamualaikum mzee Mohamed Said . Mlishawahi kukipiga na TPC? Hebu tupe story za hii timu iliyokuwa chini ya meneja wake Mshiriki marehemu mzee jimmy
  7. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Interview za kiwaki sana

    Umenichesha sana Mazee
  8. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Interview za kiwaki sana

    Jombaa wacha hizo basi aisee
  9. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Unajua Umuhimu wa BULK SMS?

    Gharama za kufanya hii kitu ni ngapi mtaalamu?
  10. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Mwenye kitambu cha machimbo ya bidhaa kaliakoo naomba tusaidiane

    Mimi Naijua kariakoo kabla ya hiyo miaka yako 25 uliyotaja hapa kwa sababu nimewahi kufanya mishe zangu gerezani. Ila kwa jinsi kariakoo ya sasa ilivyo mumbo jumbo suluhisho bora ni kulipia gharama kidogo kupata muongozo wa machimbo kuliko kupoteza muda kuzunguka na kupoteza muda na energy...
  11. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Machimbo GPT

    Assalamualaikum. Anza kwa kujenga uaminifu kwa wananchi. Sijajua kama Samedi Amba LLC ni jina lako halisi au ni jina la biashara. Kama sio jina halisi basi tumia jina lako halisi. Pili, naona hii project ina potential. Fikiria kuhusu kuisajili Brela. Utafanikiwa kwa kupata trust ya wananchi...
  12. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Mwenye kitambu cha machimbo ya bidhaa kaliakoo naomba tusaidiane

    Futa kauli yk bingwa. Kariakoo unaijua wewe?
  13. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Unataka kuingia kwenye biashara za pikipiki pita hapa ujifunze kitu

    Salaam. Umetufungua macho wengi. Kila la heri. Nitakutafuta. In'sha'Allah
Back
Top Bottom