Sasa ngoma iko hapo. Account yangu ya PayPal ina kina la mmasai wa kenya huko na namba ya safaricom sasa sijui nitalink vp na mpesa yangu yenye namba ya kibongo.
Habari zenu humu. OgaBoy naomba msaada wako tafadhali na bila shaka kuna wengine pia watanufaika na input yako mtaalamu.
Kimsingi mimi ni Graphic designer. Niko Dodoma. Hapa nilipo nimegundua soko la ku print labels za mafuta ya alizeti kwa sababu.
1. Niko ktk mtaa ambao kuna dealers wengi...
Assalamualaikum mzee Mohamed Said . Mlishawahi kukipiga na TPC? Hebu tupe story za hii timu iliyokuwa chini ya meneja wake Mshiriki marehemu mzee jimmy
Mimi Naijua kariakoo kabla ya hiyo miaka yako 25 uliyotaja hapa kwa sababu nimewahi kufanya mishe zangu gerezani. Ila kwa jinsi kariakoo ya sasa ilivyo mumbo jumbo suluhisho bora ni kulipia gharama kidogo kupata muongozo wa machimbo kuliko kupoteza muda kuzunguka na kupoteza muda na energy...
Assalamualaikum. Anza kwa kujenga uaminifu kwa wananchi. Sijajua kama Samedi Amba LLC ni jina lako halisi au ni jina la biashara. Kama sio jina halisi basi tumia jina lako halisi. Pili, naona hii project ina potential. Fikiria kuhusu kuisajili Brela.
Utafanikiwa kwa kupata trust ya wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.