Recent content by LOGORIDDIM

  1. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki ni Fursa ya Kuimarisha Uchumi Wako

    Napiga kambi hapa
  2. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Natoa ushauri wa biashara na namna ya kukuza biashara

    Boss umekabia kwa juu sana!
  3. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

    Assalamualaikum. Najua kwanini... Nilikuona ulikuwa miongoni mwa waliokesha usiku kuisubiri ile ahadi ya saa 8. Binafsi nimecheka
  4. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Kitabu Cha Maisha ya John Lyimo Mwanasoka Nguli wa Tanganyika Enzi za Gossage Cup

    Huku John Limo kule Sharif full back Awadh Mtezo... Enzi hizo RPC. Mzee Jimmy mzungu Mgiriki huyu.
  5. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Katika biashara mbaya zaidi duniani ni ya madawa ya kulevya. Haitaki utani kabisa

    Dah! Nimemkumbuka jamaa alikuwa na familia na mishe za babershop mapipa miaka kadhaa ya nyuma. Basi akaingia tamaa ndugu yake mmoja mtu wa mishe hizo akamchukua akaenda kumuweka rehani Pakistan. Jamaa kuja na mzigo Bongo akaingia. Yule ndugu aliyewekwa rehani sijawahi kusikia tena habari zake...
  6. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Mfano kuna seat namba 15. Na mimi nataka kukata tiketi nikitokea Dodoma. Nakuta hizo seat tayari zimeshachukuliwa lakini ukiingia ktk behewa pale kituoni Dodoma unakuta seat tupu. Ni kwamba, kuna mdau ambaye alikata tiketi mapema lakini yeye anapandia Kilosa (seat namba 15) kwa hiyo hiyo seat...
  7. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

  8. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    1. Tengeneza email account 2. Google PayPal kisha utatengeneza account yako mpya ya PayPal 3. Hakikisha unajaza exact details kama zilizopo ktk kitambulisho chako cha Nida. 4. Hakikisha copy ya kitambulisho chako cha Nida maana wakati mwingine wanaweza kukutaka uwatumie nakala ya kitambulisho...
  9. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Gari la kusafisha pikipiki kutoka Dodoma Hadi Ngara Kagera.

    Njoo sokoni majengo. Kuna gari uwa zinaleta ndizi kutoka maeneo ya huko kila siku
  10. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Mkuu unatafuta jinai. Na kwa jinsi hawa jamaa walivyo na hasira kipindi hiki...
  11. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Kwanini mbu unapolala wanapenda kupiga kelele upande wa kichwa masikio

    Hili sasa ndio jibu sahihi la swali lililoulizwa
  12. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Iko hivi. Kuna baadhi ya kampuni Ulaya zinatumia njia za malipo kwa kutumia PayPal na Pioneer pekee. Sasa ili kupata malipo kutoka PayPal ilitulazima kumiliki line za safaricom kisha kucreate account ya PayPal kisha unailink na hiyo namba ya safaricom. Hapo tulikuwa tunapokea pesa kupitia namba...
Back
Top Bottom