Recent content by LOGORIDDIM

  1. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Mkuu unatafuta jinai. Na kwa jinsi hawa jamaa walivyo na hasira kipindi hiki...
  2. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Kwanini mbu unapolala wanapenda kupiga kelele upande wa kichwa masikio

    Hili sasa ndio jibu sahihi la swali lililoulizwa
  3. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Iko hivi. Kuna baadhi ya kampuni Ulaya zinatumia njia za malipo kwa kutumia PayPal na Pioneer pekee. Sasa ili kupata malipo kutoka PayPal ilitulazima kumiliki line za safaricom kisha kucreate account ya PayPal kisha unailink na hiyo namba ya safaricom. Hapo tulikuwa tunapokea pesa kupitia namba...
  4. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Vodacom M-Pesa, Paypal Expand Cross-Border Digital Payment Services In Tanzania ByStaff WriterMay 26, 2026
  5. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Nafaka njoo huku
  6. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Ishanitokea mara mbili hii. Mara ya kwanza nilipata pesa yangu. Mara ya pili pesa yangu ilipotea maana nilijisahau line niliyokuwa ninatumia ya safaricom iliExpire. Bingo Vodacom. Miaka mingi nilikuwa nawalilia serikali bila matunda yyt.
  7. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Kwanza ninamshukuru sana Mola Muumba kwa hili. Kesho nitatoa sadaka mahali In'sha'Allah. Kisha nitaagiza ipikwe biriani home. Japo nina sukari Dessert ... Ice cream In'sha'Allah. Yaani nina furaha mno. Tumechoka kujiita majina ya kikikuyu na line za safaricom
  8. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Vodacom Tanzania ilishirikiana na PayPal ili kuruhusu watumiaji kuunganisha moja kwa moja pochi zao za PayPal na M-Pesa. Kupitia ujumuishaji huu rasmi, unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye PayPal, au kutoa mapato ya kimataifa kutoka kwa PayPal moja kwa moja hadi simu yako ya mkononi...
  9. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Itakuwa jambo jema sana sana sana mazee
  10. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Misaada: Muongozo vitabu vya kununua. Tahasusi ya PMCs A-Level

    Natumai nyote haijambo bukheri wa afya. Kichwa cha habari husika. Binti wangu ameletewa fomu ya kujiunga shule yenye lundo la options za vitabu. Naomba msaada ninunue vitabu gani muhimu zaidi kwa uchache. Mtaala mpya wa Computer Science kwa 5 na 6. Natanguliza shukran zangu za dhati.
  11. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal Tanzania

    Sasa ngoma iko hapo. Account yangu ya PayPal ina kina la mmasai wa kenya huko na namba ya safaricom sasa sijui nitalink vp na mpesa yangu yenye namba ya kibongo.
  12. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Asante sn OgaBoy. Ubarikiwe sn. Ukifika wakati wa kununua nitakucheki.
  13. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Habari zenu humu. OgaBoy naomba msaada wako tafadhali na bila shaka kuna wengine pia watanufaika na input yako mtaalamu. Kimsingi mimi ni Graphic designer. Niko Dodoma. Hapa nilipo nimegundua soko la ku print labels za mafuta ya alizeti kwa sababu. 1. Niko ktk mtaa ambao kuna dealers wengi...
  14. LOGORIDDIM

    JamiiForums Tanzania Paypal Tanzania

    Serikali yetu bado haijasikia kilio chetu. Inasikitisha sn.
Back
Top Bottom