Iko hivi. Kuna baadhi ya kampuni Ulaya zinatumia njia za malipo kwa kutumia PayPal na Pioneer pekee. Sasa ili kupata malipo kutoka PayPal ilitulazima kumiliki line za safaricom kisha kucreate account ya PayPal kisha unailink na hiyo namba ya safaricom. Hapo tulikuwa tunapokea pesa kupitia namba...
Ishanitokea mara mbili hii. Mara ya kwanza nilipata pesa yangu. Mara ya pili pesa yangu ilipotea maana nilijisahau line niliyokuwa ninatumia ya safaricom iliExpire.
Bingo Vodacom. Miaka mingi nilikuwa nawalilia serikali bila matunda yyt.
Kwanza ninamshukuru sana Mola Muumba kwa hili. Kesho nitatoa sadaka mahali In'sha'Allah. Kisha nitaagiza ipikwe biriani home. Japo nina sukari Dessert ... Ice cream In'sha'Allah. Yaani nina furaha mno. Tumechoka kujiita majina ya kikikuyu na line za safaricom
Vodacom Tanzania ilishirikiana na PayPal ili kuruhusu watumiaji kuunganisha moja kwa moja pochi zao za PayPal na M-Pesa. Kupitia ujumuishaji huu rasmi, unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye PayPal, au kutoa mapato ya kimataifa kutoka kwa PayPal moja kwa moja hadi simu yako ya mkononi...
Natumai nyote haijambo bukheri wa afya. Kichwa cha habari husika.
Binti wangu ameletewa fomu ya kujiunga shule yenye lundo la options za vitabu. Naomba msaada ninunue vitabu gani muhimu zaidi kwa uchache. Mtaala mpya wa Computer Science kwa 5 na 6.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Sasa ngoma iko hapo. Account yangu ya PayPal ina kina la mmasai wa kenya huko na namba ya safaricom sasa sijui nitalink vp na mpesa yangu yenye namba ya kibongo.
Habari zenu humu. OgaBoy naomba msaada wako tafadhali na bila shaka kuna wengine pia watanufaika na input yako mtaalamu.
Kimsingi mimi ni Graphic designer. Niko Dodoma. Hapa nilipo nimegundua soko la ku print labels za mafuta ya alizeti kwa sababu.
1. Niko ktk mtaa ambao kuna dealers wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.