Mimi Naijua kariakoo kabla ya hiyo miaka yako 25 uliyotaja hapa kwa sababu nimewahi kufanya mishe zangu gerezani. Ila kwa jinsi kariakoo ya sasa ilivyo mumbo jumbo suluhisho bora ni kulipia gharama kidogo kupata muongozo wa machimbo kuliko kupoteza muda kuzunguka na kupoteza muda na energy...
Assalamualaikum. Anza kwa kujenga uaminifu kwa wananchi. Sijajua kama Samedi Amba LLC ni jina lako halisi au ni jina la biashara. Kama sio jina halisi basi tumia jina lako halisi. Pili, naona hii project ina potential. Fikiria kuhusu kuisajili Brela.
Utafanikiwa kwa kupata trust ya wananchi...
Salaam. Shukran sn for your response. Kwa kuanzia Nataka kukata size mbalimbali kwa ajili ya labels za mafuta ya alizeti na products nyingine. In'sha'Allah Natarajia kuchukua mashine ambayo itatumia both a4 na a3 paper size. Kwa kuanzia nitaanza na manual badala ya automatic cutters kwa sababu...
Salaam. Hii sasa ndio chaguo bora zaidi. Nimeangalia Alibaba Naona kwa bei ya 550k unapata second hand printer (au sijaangalia vzr). Hii mashine nahitaji nipate mpya In'sha'Allah.
Naomba advice yk bro.
Mkuu OgaBoy ubarikiwe sana wewe pamoja na Evelyn Salt bila kumsahau Aleyn na wengine wote. Mjadala wenu unanisaidia sn kwa sababu nami nahitaji printer. Hapa Nilipo kuna fursa nzuri sn ya kuprint labels za mafuta ya alizeti. Na advantage mojawapo ni kwamba mimi ni graphic designer.
Wazo langu...
SPECIAL OFFER!
Kwa kila kazi moja ya kutengeneza logo utakayofanya na mimi Utapata offer ya bure ya
1. Proforma invoice template.
2. Tax invoice template
3. Delivery note template
4. Headed paper template
5. Biz card template
6. Payment receipt template na
7. Receipt template
Tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.