Dr. Usikwepe hoja je mkakati mliouandaa unarusiwa kikatiba kama sheria mama ya Taasisi husika yaani CDM?
Tunausubiria sana kwa hamu hicho chama chenu Cha ATC mnaojidanganya kuwa ni mbadala wa CDM na CCM hamfiki popote kwa tamaa mlizonazo tena na huyo kibaraka wa ccm.
unazidi kujidhalilisha...
H. E. Dr. W. Slaa heshima kwako umedhirishia ngozi nyeupe ya kuwa co kila kiongozi wa kiafrika anafikiria kwa kutumia makalio.
Nimeipanda sera ya investment in human resource / developing skilled rather than investing explotation of resources.
Hongera sana kamanda kwa kuthubutu kuonyesha nia yako njema ya ukombozi lakini umekijengaje chama "chadema" huko unakotegemea kwenda kugombea kwa kiasi gani na sio kwenda kujaribu kama utashinda au la!
Kapangilie vihoja vyako halafu urudi tena na alie kutia kiburi hicho ukamlaumu kwa sababu hutofika mbali kwa siasa za umamluki popote pale duniani Juliana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.