Recent content by Login17

  1. L

    Ginger and cardamon Buyer needed

    Unapoandika kutangaza biashara weka taarifa za msingi kupunguza maswali. 1. Bei kwa tani 2. Kiasi cha chini mteja anachoweza nunua 3. Unauza kwa FOB terms only ama hata CIF? 4. Payment terms 5. Location of your product 6. Contacts zako. 7. Quality ya bidhaa yako umeipima kwa vipimo gani vya...
  2. L

    Natafuta container 20ft

    Bado una containers za 20ft?
  3. L

    Nanunua/ nakodi magauni ya harusi

    Hiyo namba ya simu mbona haieleweki
  4. L

    Jipatie Asali kutoka Skonke

    Sikonge juzi nimenunua dumu la Lita 20 elfu 90. Wewe unauza laki 2, ina nini cha ziada. Na hujasema uko wapi, labda kama upo SA.
  5. L

    Shamba kuubwa lipo sokoni Dar Madale

    Busara ni kitu muhimu sana. Mmiliki wa eneo hawezi toa majibu hayo!
  6. L

    Taja jina la shule yako ya msingi ili ufahamiane na rafiki uliosoma nao lakini hapa hamujuani

    Kama unahitaji kujuana na mliosoma nao si uende FB. Hii platform ya JF ipo kama ilivyo, no time for that.
  7. L

    Baada ya sex dolls shop kufunguliwa Nigeria

    Binadamu hana mbadala kiukweli. Yaan niache kunyonya lips za Kassie nipambane na midoli... Haiwezekani!
  8. L

    Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

    Ni PM nikueleweshe kitu muhimu
  9. L

    Mishkaki adimu.....!!!

    Karibu
  10. L

    Mishkaki adimu.....!!!

    Karibu pande hizi tule wote basiii...
  11. L

    Mishkaki adimu.....!!!

    Special for Kasie Karibu!
Back
Top Bottom