Recent content by Lodgers

  1. L

    Tetesi: Ibenge kutua Simba kuchukua nafasi ya Benchika

    Mnaweza kupata kocha mzuri ila uongozi ukibaki uleule fairure iko palepale kwa sababu watasajili tena maboya na kumshinikiza kocha awakubali na kuwasifia na mbwembwe kibao. Mfano ni kwa Robertnho.
  2. L

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba kuelekezwa jinsi ya kulipia ile sh 27000 kwa M-pesa ili mniunganishie umeme please wakuu. Nimekwama hapo tu hatua na taratibu zingine tayari. Natanguliza shukurani.
  3. L

    Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

    Hwenda serikali imeona Yanga ndiyo timu pekee inayoonesha matumaini ya kusonga mbele na kuitangaza vizuri nchi kutokana na kuonesha kandanda safi so ikaona iiongezee hamasa kwa mtindo huo kwani Simba imeitia aibu nchi kwa kufungwa nyumbani hivyo kuonesha uelekeo wa kufeli tena. Zingatia kwamba...
  4. L

    Mwigulu Nchemba: Mnasema maisha magumu? Magari namba E yamejaa Barabarani, na Benki kuna foleni

    Dah, mweshimiwa!😭 Naomba nikuulize swali. Darasa la wanafunzi 100 lina wana 15 high class (kiakili), 25 middle class na waliobaki ni lower class. 1. Nini average ya darasa hilo kiakili!? 2. Nini tathmini ya darasa hilo? 3. Toa maoni yako kuhusu hilo darasa. 4. Ukiondoa dhana ya wanafunzi na...
  5. L

    Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

    Mkuu, Kuamini uwepo wa Mungu huja kwa njia ya imani. Ukiwa na imani ya kuwa Mungu yupo ndipo naye atajidhihirisha kwako. Yeye asiye amini uwepo wa Mungu, naye Mungu atashughulika naye kwa namna atakavyoona inafaa, kwa kuwa uweza na nguvu na utukufu ni wake milele na milele.
  6. L

    Mtanange wa kesho huu hapa

  7. L

    Kipa Bora anatokana na Beki Bora na Beki Bora anatokana na kipa Bora"vice versa is true"

    Nilipotoka tu kwenye kibanda umiza baada ya mechi, nikawauliza wenzangu niliokuwa nao kwamba " mmebaini nini tatizo simba kuruhusu magoli kirahisi hivi!?" Wakajibu"mabeki hawapo makini" Nikawaambia," big nipo!! Tatizo ni kipa." Simba haina kipa bora, Manura tu ndo kipa makini na bora msimbazi."...
  8. L

    Kipa Bora anatokana na Beki Bora na Beki Bora anatokana na kipa Bora"vice versa is true"

    Nilipotoka tu kwenye kibanda umiza baada ya mechi, nikawauliza wenzangu niliokuwa nao kwamba " mmebaini nini tatizo simba kuruhusu magoli kirahisi hivi!?" Wakajibu"mabeki hawapo makini" Nikawaambia," big nipo!! Tatizo ni kipa." Simba haina kipa bora, Manura tu ndo kipa makini na bora msimbazi."...
  9. L

    Makonda bado ana kidonda cha kutengwa, kutwezwa na kususwa na system pamoja na marafiki zake. Kazi ya uenezi itamshinda

    Kwakweli wamemwonea tu jamaa kwenye hiyo kazi. Hataweza. Wangeanza kwa kumpa uRC au ubunge wa kuteuliwa.
  10. L

    Waziri Gwajima tengua uamuzi wako wa kuunga mkono sheria ya maadili Arusha, hili ni bomu unatengeneza

    Asante mkuu kwa swali hili. Nami nikuulize kidogo. 1. Je, hiyo jamii ipo wapi hapa Tanzania? 2. Hiyo jamii ndo mtindo wao wa kuvaa vipisi na kukatiza navyo katika mitaa yao siku zote na wakati wowote!? 3. If Yes for no. 2 above, Je, huo utamaduni ni sawa kwako hata kama unaathiri jamii...
  11. L

    Waziri Gwajima tengua uamuzi wako wa kuunga mkono sheria ya maadili Arusha, hili ni bomu unatengeneza

    Asante mam. Mungu akuongoze na kukusimamia sana kutuliza ghasia hii.
  12. L

    Waziri Gwajima tengua uamuzi wako wa kuunga mkono sheria ya maadili Arusha, hili ni bomu unatengeneza

    Nimpongeze Mheshimiwa waziri kwa majibu mazuri na elimishi. Kwa upande wangu, mporomoko wa maadili unaanzia kwenye uvaaji; akina dada nguo za kubana, vimini, mipasuo (inayoacha nje sehemu kubwa ya mapaja) na suruali(jeans) zenye chane na kwa kina kaka kuvaa mlegezo. Uvaaji huo unaweza...
  13. L

    Jiandaeni kisaikolojia kushuhudia haya kwenye mchezo wa Tanzania prisons vs Simba SC

    Naona umeanza kutafuta visingizio mapema ili Simba ikishinda uhalalishe maneno yako ila ikifungwa, "game lilikuwa fair" . Haki itendeke tu.
  14. L

    Tetesi: Bodi Simba yaridhia kuachana na Robertinho

    Inaonekana huyu kocha anabahati ya kushinda hata kama ni kwa bahati bahati. Mwacheni, bati lake laini, mvua kubwa za mwanzo zimelinyeshea lakini bado linaibuka kidedea bila kuvuja. Tunaelekea kwny Masika penye mvua za mawe hapo ndo sijui kama hili bati litahimili. Labda bahati ya lenyewe itawale.
Back
Top Bottom