kiukweli bongo nzima hakuna wa2 wanao tafsiri muvi wengi wana jaribu tu kuzielezea af inategemea na eneo ulipo na lafudhi yenu mfano arusha wengi wamezoea lafudhi za muphy d , ommy na master kama best djs uezi lazmisha mtu askilize archichi uyo mbana pua anaskilizwa na wadanapua wenzake sawa ss...
mkulu alipokua udom alsema atarejesha mfumo wa kujisajili urudi vyuoni na co TCU kama awali unafikirri kunaki2 kazuia kweli na vyuo vikuuu ni taasisi huru
wakitimuliwa hao kutakua na paka rodi maana hali hii ilivyo ngum uwatimue hao watu wa makaratee unategemea nn kamacio kunyongana uku mitaan naivi wanavyoxema mkulu kaficha hela mbona atazitoa tuuu eb abip fire aone kinachotokea nyani haoni kundule ila akitumia kiooo ataliona 2 cunajua kioo...
jamani mbona malalamiko mengi ya mama jk mliongea ya dr getrud mnaongea ayo ni ya ccm yaachwe kama yalivyo mbona cdm walipendekeza kina wanje hawakuona damu mpya yakina mama regina lowassssa si haya haya 2 watch ua back
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.