Mtaala upo nchi haiwezi kukosa mtaala. Tunapoongelea mtaala wa 2005 ni mabadiliko ya mtaala yaliyofanywa mwaka huo. Mabadiliko hayo yapo na yanadhihirika kwenye Sylabus mpya ya 2005. Kinachowasumbua Mbatia na vilaza wenzake ni uelewa wa nini maana ya mtaala na na vitu gani vinarejelewa mtu...
Mbatia anaapia vitu ambavyo havifahamu. hakuna nchi yoyote duniani ambayo haina mtaala. Mitaala ipo na kila ngazi ya elimu Tanzania ina mtaala wake sema neno mtaala si kitu kirahisi kueleweka kwa layman.
kama kuna mtu andhani uropokaji wa nape kuhusu kadi ya slaa ni inshu ya kujadili, basi atakuwa aidha mamluki au mwenye akili ndogo sana. Ile in nonsense inayoweza kuaminiwa mtu asiye na akili tu.
Nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiri. Je unajua idadi ya madaktari tanzania na ratio yao kwa wananchi? On otherhand do u know how long it takes to train a Medical Doctor? na je unajua ni watanzania wangapi waliosoma PCB lakini wanakimbia udaktari na kuwa Wahasibu na fani nyingine rahisi...
Anyekusaliti ni raisi wako uliyemchagua kwa kipande cha kanga. Hili liwe somo kwetu kuchagua viongozi wanaoweza kututetea. Madaktari wnagoma anaacha kuongea nao anaongea na wazee wa Dar.Stupid nnon sense
Makamba ni Kuwadi mkubwa wa Lowasa fisadi wa kutupwa. uzalendo anaojivalisha ni wakuwachezea tu watanzania. kama ndo unaanza kumtilia mashaka ZITo umechelewa maana sisi wengine tulishamsahau ndani ya makamanda halisi wa chadema
Kwanza, kajifunze Kiswahili ujue tofauti ya matumizi ya R na L halafu tumia kichwa kufikiri usitumie tumbo. Kama we ni mwanaume basi ujue wenzako kama wewe waliishia kuolewa. Matatizo ya umeme TZ yana uhusiano wa karibu sana na Lowassa Hafai, ni mwizi na fedhuli Mkubwa Na sasa anataka kutuulia...
usiwe mvivu wa kufikiri CDM wanachotaka ni haki si Ulafi wa kugawana madaraka kinyume na maelekezo ya chama. Mabwegwe wenzako ccm kazi yao ni kuongezeana siku za magamba. cdm hawataki watu wengi mamluki wanataka watu wachache committed. huu ni uamuzi wa kiume
"Kama vyama vya tanzania vitaendelea kuendekeza mfumo wa kugawana madaraka hakika hatutakuwa na maendeleo ya kweli". Kama CDM wangewaacha madiwani Wa arusha bac tungeelekea kulekule kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ya ZNZ ambayo dhahiri inawaumiza wananchi. "Demokrasia ya kweli lazima ifuate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.