Recent content by llux_m

  1. L

    Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

    Acha mapokeo mabaya kwa wanawake kiasi hicho ,wanawake ni watu wenye huruma sana tena wavumilivu mno ataelewa
  2. L

    Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

    Atakuelewa tu wala usihofu kabisa ,hayo ni mapito ya muda mfupi sana fatilia ushauri wa wadau kuwa na imani
  3. L

    Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

    Pole sana kaka, jambo hill mshirikishe na mkeo ,mwanamke ukimwambia kitu hana shida kuliko kumficha ,tena anaweza kukusaidia zaidi kutafuta suluhisho kwani tatizo lako linatibika ,jiamini hakika mtapata watoto
  4. L

    Kwa ulaji huu, wife mwambie mdogo wako(shemeji) arudi kijijini

    Mkuuu mi naona ,haukupenda tu ujio wa shemejio ,huo mkate umekuwa kisingizio
  5. L

    Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  6. L

    Wanawake Msipoacha Huu Ujinga, Basi Tusilaumiane..

    Labda ndio siku ya kwanza mfundishe pole pole faida yake atakuelewa na siku nyingine yeye mwenyewe ataomba mechi
Back
Top Bottom