Pole sana kaka, jambo hill mshirikishe na mkeo ,mwanamke ukimwambia kitu hana shida kuliko kumficha ,tena anaweza kukusaidia zaidi kutafuta suluhisho kwani tatizo lako linatibika ,jiamini hakika mtapata watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.