[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujaamua tu mkuu ,,comments zote hz au vigezo vigumu,,,,
Ila humu wasomi wengi,!!! Afu wasomi wanahitaji wasomi wezao[emoji847][emoji847]
Wanasahau kwamba hata ambo hatujasoma tuna akili ya kupambana na maisha
HERUFI KUBWA
]Wanaume jamani
Sijui kwaninin wanakuqa na tabia za ajabu
Unajitaidi kumjali kumpenda kwa hali yoyote ile , unaanza mahusiano akiwa hana chochote
Lakini unampenda hivyo hivyo siku akipata tu pesa basi macho yake yanaanza kuona kwingine nakusahau ya nyuma yotee
Hawa viumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.