Habari zenu JF?
Nimesikia kuna taasisi zinazotoa mikopo ya mikataba ya ujenzi( wanakujengea nyumba/frem kwa ajili ya biashara) kisha baada yakukamilika ujenzi, wanajilipa tozo yao kupitia hiyo biashara itakayokuwa inajiendesha katika huo mradi wao wa ujenzi.
Shida yangu; ninaomba kwa yeyote...
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/28345056
Habari zenu wakuu!!! mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25.
Kuna kampuni ya printers nilikua nafanya kazi nikiwa kama msaidizi wa kiongozi mkuu. Hapo ofisini pakatokea wizi wa kuibiwa pesa usik......
Habari zenu wakuu!!! mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25.
Kuna kampuni ya printers nilikua nafanya kazi nikiwa kama msaidizi wa kiongozi mkuu. Hapo ofisini pakatokea wizi wa kuibiwa pesa usiku wa saa10.
Basi hiyo kesi ikanidondokea mimi. Nikawekwa lock up na baadae mahakamani, nilipokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.