Recent content by livingroom_espionage

  1. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Nahisi kama kuna kitu naanza kuelewa
  2. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Wakuu salama. Mimi ni mkristo mzuri tu na imani yangu ipo kwa Mungu dhidi ya hizi dhana nyingine katika uumbaji wa Ulimwengu. Tunajua kwamba Biblia ndio msingi wa imani ya kikristo na pia ndio kitabu inasemekana kimeficha kwa mafumbo mambo mengi sana. Na pia sisi wakristo tunashauriwa...
  3. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Nina idea ya HIV POSITIVE CARRIER MARATHON itafanyoka Dodoma siku na tarehe kama ya leo mwezi wa 11.

    Nipo siriaz na nitajaza Dodoma mara kumi zaidi ya leo. Wadau na ambao mpo siriaz mnifuate PM NB: Hii idea kama IP ipo copyrited. Nawasilisha nikiwa na moet 3 pembeni hapa ya mfanyakazi wa zamani wa zile ndege za Dar to mbeya kwa elfu 60,000/=.
  4. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Salaam ndugu zangu. Nimemkuta wife kambetia agentina leo kaweka mil 1. Nikazinguana naye alafu nimembebeleza. Tupo sawa sasahv au nilitakiwa kukaza. Nipeni ushauri
  5. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kuhusu ndoa

    zipompa ila huyu wa kwangu naona muda wote anacheka na anapenda sana mtanange haswa usiku wa manane na asubuhi, unajua nae ni age go yeye ana 39 je inawezekana ni effect za menopouse zinaanza au labda ni nini ? Wataalamu mje mtusaidie wanandoa...
  6. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kuhusu ndoa

    Salaam wakuu, mimi ni mwenzenu ila account yangu sijui imefanyaje na ile email walihack ila nimefungua account mpya. Sasa ndugu zangu mimi nina 38 sasahv na ndio naingia kwenye ndoa, huyu binti nilizaa nae miaka 12 iliyopita, ila nilikuwa sijapata kibali cha kuishi nae pamoja. Sasa naombeni...
Back
Top Bottom