Recent content by livingroom_espionage

  1. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Unaikumbuka Power breakfast ya clouds kipindi cha bifu na Ruge na Sugu.

    Naweza kusema kwamba Mh. Jakaya bwana enzi zake watu walikuwa huru sana, Huyu mzee bwana licha ya mapungufu yake, kuna vitu alifanya watu nadhani mpaka kesho watamkumbuka na kumuheshimu. Picha linaanza ile show ya kina sugu inafanyika usiku na wanatukana matusi ya nguoni kuitukana clouds na...
  2. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Vitanda na Godoro vinauzwa bei mseleleko

    Nimejaribu kuwa mkweli ila nina imani nitapata wateja
  3. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Vitanda na Godoro vinauzwa bei mseleleko

    Sawa mkuu ila bado vipo kwenye hali nzuri sana
  4. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Vitanda na Godoro vinauzwa bei mseleleko

    Nimesema ukweli jamani, Ahsante
  5. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Vitanda na Godoro vinauzwa bei mseleleko

    Vitanda vipo sita na Magodoro yamebakia mawili tu.
  6. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Vitanda na Godoro vinauzwa bei mseleleko

    Tunafanya Renovation ya Guest ipo Pugu Majohe, so tunatoa vitanda vya zamani tunaweka kitanda vipya na kupaka rangi so vile vya zamanibtunauza bei ya kutupa kabisa 1. Kitanda 150,000 Godoro 120,000 2. Ukichukua kitanda na Godoro utalipia 140, 000 pia magodoro yamebakia mawili tu njoo uone...
  7. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtanganyika mwingine mwenye ujasiri?

    Bado bingwa mmoja yupo nadhani ujerumani na anazurura zurura nchi za scandnavia na kama sio mchaga atakuwa ni mtu wa manyara au Arusha. Mjuaaji huyo amechukua nafasi ya mange huko mjini insta. Mfuatilieni
  8. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Munisi: Bwawa La Nyerere ni Injini ya Ajira kwa Taifa Zima

    Ana baby face hadi raha au ni filter
  9. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Vizazi vyenye Bahati toka kuumbwa kwa ulimwengu, Je kwanini sio kizazi chetu hiki ?

    Wakuu salama. Tafakari kizazi Adam na Hawa kabla ya dhambi, Ebu assume walivyokula bata. Tazama kizazi kipindi cha Yesu Kristo (Mungu katika mwili) na mtume Mohamad (mwenye kheri na utukufu) angalia watu walivyoshuhudia miujiza na matendo makuu ya Mungu. Tazama kizazi kitakachoona mwisho wa...
  10. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Kitambaa cheupe, sijui ni nini kinaendelea ila wakati mwingine Maisha ni Bahati tu

    Kumbe kuna mambo ya kalumzila tena? Doooh hii mpya sasa
  11. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Kitambaa cheupe, sijui ni nini kinaendelea ila wakati mwingine Maisha ni Bahati tu

    Wewe mwenyewe unataka watu waje wafunguke nini kinaendelea ? Kikubwa kaa kimya, weka kambi hapa, subiri mastory ya town
  12. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Kitambaa cheupe, sijui ni nini kinaendelea ila wakati mwingine Maisha ni Bahati tu

    Sijawahi kikutana na huyu Dada, ila nakumbuka tokea enzi za fastjet, mpaka ki grocery kwenye frame moja pale tabata, mpaka baa kubwa, Tabata, sinza na mbagala, Mara kuna ile microfinance, mara ile biashara ya Real estate na kadhalika. Sijui ila kimpangia mtu maisha sio vyema nadhani huyu Dada...
  13. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Nahisi kama kuna kitu naanza kuelewa
  14. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Wakuu salama. Mimi ni mkristo mzuri tu na imani yangu ipo kwa Mungu dhidi ya hizi dhana nyingine katika uumbaji wa Ulimwengu. Tunajua kwamba Biblia ndio msingi wa imani ya kikristo na pia ndio kitabu inasemekana kimeficha kwa mafumbo mambo mengi sana. Na pia sisi wakristo tunashauriwa...
  15. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Nina idea ya HIV POSITIVE CARRIER MARATHON itafanyoka Dodoma siku na tarehe kama ya leo mwezi wa 11.

    Nipo siriaz na nitajaza Dodoma mara kumi zaidi ya leo. Wadau na ambao mpo siriaz mnifuate PM NB: Hii idea kama IP ipo copyrited. Nawasilisha nikiwa na moet 3 pembeni hapa ya mfanyakazi wa zamani wa zile ndege za Dar to mbeya kwa elfu 60,000/=.
Back
Top Bottom