Upo sahihi kabisa .
Inafikia mahala unajiuliza huyu mtu anawakebei wa hali ya chini inamaana yeye ni kama mbingu hatoshuka?? Yaani unapata take home 900,000 wakat kunamtu anapokea 300,000 anaomba Mungu aongezewe elf50 ili hali iwe ahuweni. Hakuna anaependa kukopa bali yakikukuta utajikuta...
Karibu kampuni ya LIVING EGGS COMPANY LIMITED
Tukuhudumie .
Tupo MOROGORO,
=> •KIHONDA _ MTAA MANYUKI na Mazimbu Road,
=> •GAIRO _ MTAA MAGOWEKO na Sheli ya Shabiby.
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO
• Kuuza mayai ya kuku wa Kisasa & Kienyeji.
Jumla na rejareja .
•...
Naomba nicheck tuyajenge nahitaji zaidi ya 200 trays kila week ......ila bei chini ya 5,500 tupige kazi maana anaeniuzia mayai hana yakutosha ...nipo Morogoro
xng hua,
Duuuh ,wewe kama mimi tu tunafanana tangu nikiwa mdogo huwa zinatoka lkn ni kwauchache sana around 20th to 25th years ilikata ikaanza tena mwaka 2016 ikakata baada ya kufanya mazoez sana ,2years a go sijaona damu tena but this 3 consecutive days nateseka hasa jioni na usiku nikiwa...
Acha kuzingua unataka kufanyabiashara au utapeli? Kama biashara na unaona itakulipa basi nahitaji tray 200 hadi mia 300 kwa elfu 6000/= hadi 7000/= kulingana na location zingatia hilo . Sometimes sio wajinga wanao peruzi mtandaoni kucheck fulsa . Bei ya 8,800/= unayosema ni bei ya muuzaji yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.