3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,571
- 16,243
Akifanya kwa bei hii uliyomshauri wateja wapo wengi tu na ninaweza kufanya naye biashara ila kwa bei hiyo ni kubwa sanaHayo huwezi kuuza kama ya kienyeji,kwakuwa rangi ya gamba la juu ni sawa na ya kisasa,kumwambia mteja anunue kwa 500 kwakuwa tu kiini ni cha njano,mteja hataamini,
kwa ushauri tu fanya bei ya jumla 8500 uingize hela faster faster,
kama itakulipa lakini,
bei ya mwisho wa madukani uzia 10500 kama kweli yana ukubwa wa kuridhisha