Recent content by livin kimario

  1. L

    Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

    Ushindi daima
  2. L

    Kama Lowassa ni jembe ataiwezesha UKAWA kushinda!

    Wagombea wote walikuwa haki sawa, mlitaka nan akatwe awekwe lowasa?
  3. L

    Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

    Mtu wa kupambana dk slaa ni obama tu
  4. L

    Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

    Dk slaa anaupeo mkubwa sana huwez kumlinganisha na lipumba au zito
  5. L

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Hawez hata kidogo na hapo ndio itakuwa mwisho wake
  6. L

    CCM mkipitisha mgombea aliye na tuhuma za kifisadi mtawapa Upinzani nguvu kubwa!

    Mwalim nyerere enzi za uhai wake aliwah kusema; lowasa ni mzur katika chama lkn hafai kuwa kiongoz wa nch
  7. L

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Amin usiamin lowasa sio mgombea wa ccm wala hana jipya.
  8. L

    Sina hamu ya kuendelea kuishi na mke niliyezaa naye watoto watatu

    Hiyo roho ikatae maana huwezi kukuta mwanamke anayekuheshimu kama huyo ondo kwanzaulichojijengea rohon mwako watoto mtawapa shida sana
  9. L

    Godbless Lema asaini ujenzi wa hospitali ya Mama na Mtoto mkataba wenye thamani dola mil 3.2

    Hongera sana mbunge wetu, kuna waliopo madarakan miaka 50 sasa lkn wanasaka tonge tu. Aliesema changa la moto ni mpumbavu.
  10. L

    Jaji Lubuva: Mbowe acha kupotosha wananchi kuhusu Uchaguzi

    Mbowe kiongoz mchapakaz na mzalendo
Back
Top Bottom