Recent content by Live circuit

  1. Live circuit

    Naomba kufahamu machache kuhusu hii kozi ya ufundi zana za kilimo na mitambo

    Habari Wana jamvi, tunashukuru Mungu kwa kuamka salama na kwa wale wenye changamoto mbalimbali tunawaombea kwa Mungu awape wepesi kuvuka kipind hiko kigumu, Back to my topic. Kuna nafasi 8000 zimetoka kwa ajir ya masomo ya ufundi kama hujaziona waweza tembelea www.kazi.go.tz Nina mdogo Wangu...
  2. Live circuit

    Ushauri wa kampuni ya kunikopesha kwa dhamana ya mshahara wangu ili nikomboe kiwanja cha familia

    Huu Uzi ulipotea nilitafuta vibaya mno ndo naona Leo maoni yako Asante
  3. Live circuit

    Ushauri wa kampuni ya kunikopesha kwa dhamana ya mshahara wangu ili nikomboe kiwanja cha familia

    Habari Wanajukwaa, wale wa Kariakoo poleni tunawaombea Mungu awe pamoja nanyi. Back to my topic, mimi ni mmoja wa waajiriwa wapya, namshukuru Mungu Sana, ninaomba ushauri. Mdogo wangu kamaliza clinical officer mwaka huu mwezi wa 8, wakati anasoma mwishoni tuliweka bond kiwanja ili aruhusiwe...
  4. Live circuit

    Nimechoka na ndoto za kula na kufanya mitihani

    Pole ndoto ya kula chakula ni sadaka au ibada kwa miunge ambayo sio kristo yesu, kwa hyo umeingia kwenye agano nao (usiogope dawa ipo) Ndoto ya kufanya mtihani level ya chini maana yake unaludishwa nyuma kimaendeleo ( jambo dogo Sana hili) La kufanya OKOKA, YAN JIKABIDHI MAISHA YAKO KWA YESU...
  5. Live circuit

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Hujapanda gar saa 12 had saa 4 usiku hutotamani, uzuri wa uku daladala zinakesha Yan 24hr transport
  6. Live circuit

    Kwanini Watanzania ni masikini? Nimeokota stakabadhi za ATM, hawana kitu kabisa

    Ni kweli wa tz wengi Sana ni masikini Ila wa tz hao masikini u maskin huo wanajitakia wenyewe au familiar zao zinawasababishia , We jifikilie mtu una watoto 6 au 7, ulizaaje zaaje , au wewe bint unapewa mimba hujui unaleaje leaje , wewe huo umaskin umeutafuta wenyewe, Baba ana zaa watoto...
  7. Live circuit

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Kule social media unapatikana kwa jina Gani please
  8. Live circuit

    Nimempa talaka mke wangu kisa kushabikia simba

    Na uyo mkeo kwao ni masikini kama wangekua wanajiweza usingethubutu kumlaliki
  9. Live circuit

    Nimempa talaka mke wangu kisa kushabikia simba

    Ni vile tu wapumbavu wa 2 wamekutana,
  10. Live circuit

    Rais Samia, watanzania wameudhika sana na Idadi/aina ya watu katika msafara wako India

    Ile ndege Ina sit nyingi angenda pekeake au na wengine yote ni Yale Yale tu
  11. Live circuit

    Tar October 2023

    Habarini Wana jamvi, Polen kwa wale wagonjwa naandika Uzi huu naelewa nn maana ya ugonjwa nipo apa muhimbili (moi) nauguza Ila nimeamini ukiwa mzima wa afya basi usiache kumshukuru Mungu, nazidi kuwapa pole wale wenye shida na matatizo mbali mbali naamin Mungu atawasaidia, Back to my topic...
  12. Live circuit

    Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

    We akili huna kbsa au zipo m*takoni,. Uyo mkeo ulimchagua wewe na alikua mlokole kilichokuvutia ni mat*ko na sio akili , Kuna walokole Wana akili smart huyo mkeo ni matatizo yake tu, Ten % ni muhim lakin 90 % muulize inaenda wap ,. Akili zako ziwe zinakaa sawa sometimes
  13. Live circuit

    DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

    Mimi uku chanika nanunua. Dumu sh 500, tulia ww acha kuleta siasa
Back
Top Bottom