Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Habari Wakuu,
Tangu Makolo wapate ofa ya mchongo kwenda Super League (ingawa hawakuwa na uwezo), huyu mke wangu ni kolo dam dam, amekuwa wa kunipigia makele kila siku kiasi kwamba nilianza kukasirika sana but nimevumilia sana.
Jana baada ya makolo kufurushwa nimemkuta amenuna na kupika hataki , nikaona huu ni ujinga. Yaani ukolo wako unitese mimi? Nimetimua kwao, now simu zinaita ukweni then nitazi-block kabisa
NB: Vipi wakuu kwa mujibu wa rage kuhusu makolo, nimekosea?
Tangu Makolo wapate ofa ya mchongo kwenda Super League (ingawa hawakuwa na uwezo), huyu mke wangu ni kolo dam dam, amekuwa wa kunipigia makele kila siku kiasi kwamba nilianza kukasirika sana but nimevumilia sana.
Jana baada ya makolo kufurushwa nimemkuta amenuna na kupika hataki , nikaona huu ni ujinga. Yaani ukolo wako unitese mimi? Nimetimua kwao, now simu zinaita ukweni then nitazi-block kabisa
NB: Vipi wakuu kwa mujibu wa rage kuhusu makolo, nimekosea?