Recent content by LittleJoe

  1. LittleJoe

    JamiiForums Tanzania Eti una hesabu 1.3 million kununua mobile phone

    Unajua katika mifumo mbalimbali ya maisha binadamu tunayoishi inaweza kulingana au kutofautiana kulingana na vile mtu apendavyo kuishi. Suala la huyu jamaa kununua hiyo Samsung Galaxy Note (1,2,3) kwa mtazamo wangu siwezi kumshangaa hasa ukiangali kila mtu ana vipaumbele vyake katika maisha ya...
  2. LittleJoe

    JamiiForums Tanzania Dawa Ya Madereva Wazembe Yapatikana, Kuanza Kutumika Muda Si Mrefu!!

    Ni kweli mkuu mm mwenyewe leseni yangu nimeipata na hata gari sijui linawashwaje. Kwa nçhi kweli hi I no danganya toto. Name hata likifanikiwa hili basi watoto wa wapiga kura na watoto wa wakulima ndio tutawajibishwa.
  3. LittleJoe

    JamiiForums Tanzania Naacha buku 15 daily nakuta ugali na dagaa

    Mvumilie tu.. na ukitaka yakupate ya akina Ufoosaro we jaribu kuhoji tu
  4. LittleJoe

    JamiiForums Tanzania Nokia Lumia 800 inauzwa

    nilishaiuza tayari
  5. LittleJoe

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Anzisha biashara ya Supu ya pweza nahisi itakulipa vizuri ndugu yangu. Naona wadada kwa wakaka wanaitumia sana siku hizi.
  6. LittleJoe

    JamiiForums Tanzania Nokia Lumia 800 inauzwa

    Habari ya asubuhi wanaJF. Ninayo Nokia Lumia 800 yangu ninaiuza. Kama kuna mtu yeyote ambaye atahitaji naomba anitumie ujumbe.
Back
Top Bottom