Habari ya muda huu wapendwa,
Mimi ni mwanamke nina tatizo la kutoka na majimaji mepesi meupe kwa wingi ukeni, yanatoka kama hedhi maana kuna muda kiuno kinaniuma.
Pia ninapofanya mapenzi yanatoka hayo maji yamechanganyikana na damu kwa mbal Sana ila hayawashi wala kuuma.
Naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.