mm si team wema......lkn wema ana mabaya mengi tu lkn kwa hli la kajala alimtendea kitu kikubwa sana......kajala hata ukiamua umlimpe bilioni kadhaa wema ss hv haisaidii kipindi kile ulipokuwa jela ndio ilionekana thamani yake.......shukrani ya punda mateke akamchukulia buz lake ......kajala...
kuhakikisha amekula....amevaaa na kula vizuri haitoshi kwa mpenzi wako unayempenda.....lazima kuhakikisha yupo njia sahihi kila kona.......hao wanatuonyesha mapenzi ya kisanii tu.....(kuigiza)....na huo nahic ndio mwisho wa part 2
hv mnajua ni kwa kiasi gani mama diamond alipata shida na diamond kuanzia mimba, kulea hadi amefika hapo halipo....diamond hana kosa na laana haitompata,wanaume mjifunze kupitia kwa mwanaume mwenzenu hii inadhihirisha kuwa hakuna anayejua kesho itakuwaje.........kuhusu zawadi aliyoitoa kwa mama...
mume au mke unakutana nae popote.......cha msingi ni kumshirikisha mungu........hata wa kukutana naye face to face anaweza asiwe mke wala mume vile vile
mwanamke sifa yake kujiremba.....wanae wa ss tunashindana kwa vipodozi na wengine kujichubua..hereni masikioni kweli huyo anastahili kuitwa baba wa familia kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.