nilikuwa kwenye semuna, mwakasege aliwaita wote yaani wanawake wanaohitaji kuolewa na wanaume wanaohitaji kuoa, kiukweli wanaume walikuwa wengi na wanawake walikuwa wengi pia, na mwakasege alikuwa anazungumzia jinsia zote, alipokuwa anafafanua au anaelezea mada ya viapo ndipo akatolea mfano huo...
- Nina umri wa 32
- Sijaolewa, sina mtoto
- Mkristo mkatoliki
- Nina elimu ya chuo
- Mwajiriwa Serikalini
- Nina hofu ya Mungu ndani yang.
Natafuta mwanaume ambaye na yeye anahitaji mwenza kama mimi. Msinishangae mpk umri huo kutokuwa na mtu, jamani mwenzenu yalinikuta nilipoteza muda mwingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.