Recent content by Lipwebwete

  1. L

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Ondoa neno wanaume wote.... Mimi nasimamishaaaaa🤪🤪
  2. L

    JamiiForums Tanzania Ahmed Assas ana hati ya kusafiri ya kidiplomasia kwa hadhi ipi aliyo nayo? Nchi imeoza hii

    Ve mnyakilambo vakukopwe iliho... Utalimeee
  3. L

    JamiiForums Tanzania Ahmed Assas ana hati ya kusafiri ya kidiplomasia kwa hadhi ipi aliyo nayo? Nchi imeoza hii

    Chawa pro max.... Si utufafanulie sasa?
  4. L

    JamiiForums Tanzania Imani hizi! Je, unajua kanisa linaitwa "Chanzo halisi?

    Hili kanisa, si ndiyo lile lilikuwa linaitwa "THE POOL OF SILOAM?" Hawa jamaa wana aina ya "Injili" ya tofauti kabisa! Kuanzia saa, siku, wiki, mwezi hadi mwaka vina majina ambayo hata kwenye biblia hayapo!
  5. L

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Mungu asimame atutetee! Kichapo Cha kushitukizwa Tena alfajiri (ya honey moon?) Kinahuzunisha na kutia hasira sana! Lakini hao hamas nao ni wazi wamechoshwa na hali ngumu walizowekewa na Israel na Misri 2007! na kilichobaki kwao ndiyo hivyo tena, ila naona kama wametia pilipili kwenye kidonda...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Mwanajeshi wa Israel anayeshikiliwa mateka na Hamas

    Dah!... Mwandishi umeamua kuelezea Mahaba Yako Kwa mpenzi wako... Nilidhani nitapata taarifa sahihi isiyoegemea upande wowote!
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

    Kwa jinsi Uzi ulivyonyooka, nahisi wewe umepotezana (kama umeusoma) Nina swali kwako, Je unataka kuwa Rubani au Daktari? na una UHAKIKA kuwa utavipata baada ya kuhitimu? Kama jibu ni ndiyo, NENDA KASOME
  8. L

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Daraja la Saba wanaingiza mamilioni, wa Chuo Kikuu wanalaumu mitaala haiwawezeshi kujiajiri

    Kuna mtu anaitwa Jah People!!! ni habari nyingine,.
  9. L

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Daraja la Saba wanaingiza mamilioni, wa Chuo Kikuu wanalaumu mitaala haiwawezeshi kujiajiri

    Mkuu, naona unakula ugali Kwa picha ya samaki. Hilo unalolisema siyo la level ya wabongo. Tuzungumzie hali tuliyonayo na tunatokaje?
  10. L

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Richard kaeleza vizuri sana
  11. L

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa hiyo mpaka sasa Kwa maoni yako tunaweza nani AMEFELI? Putin au PMC?
  12. L

    JamiiForums Tanzania Mkataba na DP World siyo miaka 100, bali ni MILELE

    Inatuona kubwa ni WADANGANYIKA
Back
Top Bottom