Recent content by Lion01

  1. Lion01

    Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Mungu akupe wepesi aisee Muwe wavumiliivu mtakula vilivoiva
  2. Lion01

    Wadau nataka kujiua

    Check series moja ya kikorea inaitwa TOMORROW, utajua thamani ya uhai hata kama ni ya kufikirika lakini kuna kitu utajifunza. Pole sana kwa changamoto unayopitia
  3. Lion01

    Njia zilizotumika kulinda ubakaji karne ya 19

    Kwa iyo saiz nyeto sio shida kwa afya??
  4. Lion01

    Manara amchana Rais wa TFF, Wallance Karia, adai anakiburi cha madaraka ya kulevya

    Jamani kama bado anaisema Yanga kwamba, Viongozi wake ni dhaifu na waoga
  5. Lion01

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Labda alimanisha degree zifutwe zisiwepo kabisa kuwe na Veta tu
  6. Lion01

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Nilidhan Majaliwa Ana upresident material lakin nimeona kabisa hatoshi kabisaaa
  7. Lion01

    Ni kwanini Rais Samia anapendwa, anaaminika na kukubalika sana kila kona ya Tanzania?

    Hujiulizi kwanini nyuzi za kumsifia ni wewe tu unaleta!!!!
  8. Lion01

    Mahusiano yanayokuja kwako huwa yana sababu maalumu.

    Bado theme kamili sijaipata Mpo kwenye mahusiano? Au umewah kumkataa au kukataliwq?
Back
Top Bottom