Hii rasimu ingepita, ingekuwa ni bonge la katiba, ingeongeza zaidi uwajibikaji na uwazi wa viongozi. Pia imagine waziri sio mbunge dah iyo vita ya hoja ingekuwa balaaa
Na Waziri angekuja amejianda vizuri na ahadi lazima ingekuwa rahisi kutimiza.
Na kwa jinsi hiyo rasimu ya katiba ilivyo, bado...
Check series moja ya kikorea inaitwa TOMORROW, utajua thamani ya uhai hata kama ni ya kufikirika lakini kuna kitu utajifunza.
Pole sana kwa changamoto unayopitia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.