Recent content by Lion01

  1. Lion01

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Mungu akupe wepesi aisee Muwe wavumiliivu mtakula vilivoiva
  2. Lion01

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa kinachoendelea mtaani, ni wazi Tundu Lissu/CHADEMA wana kazi kubwa ,No reforms No election it was wrong timing

    Nakubaliana na wewe ilikuwa ni right thing but at wrong time
  3. Lion01

    JamiiForums Tanzania Wadau nataka kujiua

    Check series moja ya kikorea inaitwa TOMORROW, utajua thamani ya uhai hata kama ni ya kufikirika lakini kuna kitu utajifunza. Pole sana kwa changamoto unayopitia
  4. Lion01

    JamiiForums Tanzania Njia zilizotumika kulinda ubakaji karne ya 19

    Kwa iyo saiz nyeto sio shida kwa afya??
  5. Lion01

    JamiiForums Tanzania Manara amchana Rais wa TFF, Wallance Karia, adai anakiburi cha madaraka ya kulevya

    Jamani kama bado anaisema Yanga kwamba, Viongozi wake ni dhaifu na waoga
  6. Lion01

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Labda alimanisha degree zifutwe zisiwepo kabisa kuwe na Veta tu
  7. Lion01

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Nilidhan Majaliwa Ana upresident material lakin nimeona kabisa hatoshi kabisaaa
  8. Lion01

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Rais Samia anapendwa, anaaminika na kukubalika sana kila kona ya Tanzania?

    Hujiulizi kwanini nyuzi za kumsifia ni wewe tu unaleta!!!!
  9. Lion01

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano yanayokuja kwako huwa yana sababu maalumu.

    Bado theme kamili sijaipata Mpo kwenye mahusiano? Au umewah kumkataa au kukataliwq?
  10. Lion01

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa CHADEMA ukiisha, baadhi ya watu heshima zao zitashuka

    🤣🤣🤣
Back
Top Bottom