Recent content by linganiwa

  1. linganiwa

    Tunahitaji msichana kwa ajili ya kuhudumu kwenye ofisi yetu

    Majukumu yote hayo mshahara laki moja kweli we ovyo
  2. linganiwa

    Wakazi wa Mkoa Mpya wa SONGWE Tukutane Hapa

    ww unavyofahamu iko wp nje ya Dar
  3. linganiwa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nakumbuka miaka ya nyuma Tanesco mlikuwa na kitengo cha security na ninaamini malengo ya kuwepo kitengo maalumu cha security ni kulinda miundombinu ya shirika na kuwasimamia waajiliwa (staff) ambao wanajishughulisha na ukishoka (kusimamia nidhamu kwa waajiliwa pia).Shirika kama tanesco...
  4. linganiwa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Afadhali Tanesco kwa mala ya kwanza mmejbu wazo LA mdau.OK mnalifanyia VP kazi swala la wafanyakazi wa Customer care zote za Dar kuwa madalali wa fomu za maombi ya mwanzo wanazochukua wateja? wakishirikiana na baadhi ya wanaojiita et makontractor wanaoshinda nje ya Tanesco?.Pia mm ninaamin ni...
  5. linganiwa

    Ukweli mchungu: Vijana wengi wanaohitimu VETA wapo vizuri zaidi ya wahitimu wa vyuo vikuu

    Chaji ya cm kupata joto wakati inapotumika hasa zile feki,kwa kijana wa VETA aliehudhulia mafunzo vzr pale chuoni na kupasi gani iyo vzr tatizo Dogo sana kusolv kijitatizo ulicho kitolea mf. C vyema kuheshimu vyeti tu in vzr aheshimiwe mtu apimwe uwezo wake wa utendaji kwa vitendo na nadhalia...
  6. linganiwa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco huu Uzi mumeanzisha wa nn? Mbona hamjibu malalamiko ya wateja? Kama VP ufuteni
  7. linganiwa

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Startimes, na vin'gamuzi vingine vyote in wakati sasa mubadilike yani mteja akinunua kifulushi kiwe kinachaji kutokana mteja anavyo tumia (mf luku),na c iv mnavyokata kwa mwezi mteja atumie actumie ukiisha mwezi tu inaxpare binafc ninaona ni unyonyaji, ebu nendeni na wakati bc
  8. linganiwa

    Ni binadamu mjinga tu ndie atainua kinywa na kusema CHADEMA inakufa

    Naipenda CHADEMA huwa citaji ijinadi juu yangu, nilishaielewa kitambo sana,
  9. linganiwa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Wafanyakazi wa Costemer Care za Dar es Salaam ni vishoka. jinsi wanavyo piga,kwa wale wateja wapya wanaokwenda kuchukua maombi ya mwanzo, wafanyakazi wanammezea mate ili aende kwake mmoja wao mteja akienda tu kumuuliza mmoja kati yao basi mfanyakazi yule anakuwa kisha pata dili eti utamckia...
Back
Top Bottom