HAPO NDIPO MTAKAPOJUA UMHIMU WA MULTIPARTY PARLIAMENT.....Kungepigwa kelele Bungeni Hadi wanaotaka kupitisha huo mkataba WA KARL PETERS wangeona aibu. Sasa Bunge la Chama kimoja hakuna Hoja pinzani ni mwendo wa NDIYOOOOOOOO......unategemea Nini?
Vigezo ni pamoja na Serikali kukusanya 100% Kodi na sio Kodi zinakusanywa na wajanja janja humo bandarini then Kodi zinavuja mifukoni mwao. Kuna kitu Watanzania Bado TU gizani. Kwani kampuni likiwekeza Mnafikiri mnaibiwa?? Sasa ni Bora abanwe mtu mmoja awe anatoa Kodi moja Kwa Moja.
Sasa rafiki yangu Mbona una kichwa kigumu sana? Unaambiwa mizigo inapita njia za magendo! Sasa maafisa wa Serikali ni wengi kiasi Gani wafichame Kila mapori ya mipaka ya nchi hii??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.