Hilo nalo jambo!! Ni kweli kabisa, waliomkata hawakuyafikiria hayo yote; Kama kweli atahamia upinzani ni Watanzania watafanya kama walivyo fanya wakenya! pamoja na kumchafua Uhuru na bado walimchagua kuwa rais wao na leo anaonekana rais bora!
Mnao mdharau Mzee Kingunge hamjui kitu na mpo kama bendera fuata upepo! Kingunge ni mzee makini sana na mnaofurahia jambo hili mtakuja jutia siku moja!
Anaye bisha bisha kwamba EL hakuyasema maneno hayo ni mbumbumbu na hapaswi kuwepo humu Janvini! Msipende pelekwa kama makapi! EL aliyasema hayo ktk vikao vyao!
Kiroso, wewe unajua namna ya kupambanua mambo; Tatizo wabongo huwa wakisikia jambo hata hawalifanyii kazi ni kama bendera fuata upepo. Hata Mh. Sophia Simba aliwahi sema"Ndani ya CCM hamna mtu msafi"
Usemalo hulijui! Hati ya dharula yamekuwa majanga? Acheni ujinga nyie! Wapinzani wapo sahihi sana na Maccm mmeprove failure! Mlitakiwa muwashindwe kwa hoja na siyo jazba! Poleni sana MaCCM! Hiyo imekula kwenu!!
Tatizo humu ndani mpo kivyama zaidi! Mimi ktk kumbukumbu zangu, wakati EL anasema amenewa na nitatizo ni Uwaziri Mkuu! Kamati teule ilisema hii"kama huliziki basi tuliombe Bunge litengue kifungu fulani halafu mjadala uanze upya na ukiamza upya tutafika hadi juu!". Msifikirie EL hana akili...
Nyie wawapi? Mtambue kwamba, Wabunge ambao wanaichachafya serikali ndani ya Bunge hawapelekewi maendeleo kwenye majimbo yao ili ionakane hawafanyi kazi na uchaguzi ukija wananchi wakate tamaa ya kuto mchagua tena! Jimbo la Ubungo mchagueni tena Mnyika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.