Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Hili wimbi la kumshawishi Lowassa ambaye walimuita fisadi aje CHADEMA sielewi! KWA kifupi tu nimechanganyikiwa nataka ushauri wenu! Sipendi kuitwa fisadi kwa kijani changu huku hata miamoja siwahi kula kazi kubwa naifanya kutekeleza ahadi zangu tu