Siku zote mwanadamu huona ya mwilini ni Mungu pekee huutazama moyo. Mmemwita kila aina ya majina, mmemtukana kila aina ya matusi lakini baba wa watu hakujibu kitu chochote Mara ooh fisadi kikowapi mmnaumbuka mmoja baada ya mwingine. SASA MUNGU AMEAMUA KUWEKA WAZI EDWARD NDIO MLINZI WA AMANI...
Hivi haya masinema anayocheza Magufuli wewe ndio unaona mabadiliko? Subiri watakapoachiwa na kufutiwa mashtaka maafsa wa TRA NA TPA ndio utajua haya ni masinema
Zitto yupo kimaslahi zaidi yeye yupo tayari kuangamiza hata ndg zake ili mradi akihakikishiwa kama atapata chapuo si umeona alivyoiuza Kigoma? HUYO NI MSAKA TONGE AMESHA POTEZA MWELEKEO
Hiyo ndo ccm ni ile ile unadhani mkumbo alipata wapi nguvu ya kufanya Yale aliyoyafanya kwa marehemu Alphonse Nawazo. Jibu unalo sasa kwa hali hii kwanini asipandishwe cheo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.