Recent content by lilian mapembe

  1. L

    Lowassa: Tuzo ya amani imewaumbua CCM

    Siku zote mwanadamu huona ya mwilini ni Mungu pekee huutazama moyo. Mmemwita kila aina ya majina, mmemtukana kila aina ya matusi lakini baba wa watu hakujibu kitu chochote Mara ooh fisadi kikowapi mmnaumbuka mmoja baada ya mwingine. SASA MUNGU AMEAMUA KUWEKA WAZI EDWARD NDIO MLINZI WA AMANI...
  2. L

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Acha ujinga hivi aliyofanya Makonda wewe unayaona mazuri
  3. L

    Tuliomkataa Lowassa, Makuwadi wa Mabadiliko "Yale" na Waliojipanga Nyuma Kosa Letu Nini?

    Hivi haya masinema anayocheza Magufuli wewe ndio unaona mabadiliko? Subiri watakapoachiwa na kufutiwa mashtaka maafsa wa TRA NA TPA ndio utajua haya ni masinema
  4. L

    Zitto Kabwe anatumia muda mwingi kuijenga CCM kuliko hata kukijenga chama chake

    Zitto yupo kimaslahi zaidi yeye yupo tayari kuangamiza hata ndg zake ili mradi akihakikishiwa kama atapata chapuo si umeona alivyoiuza Kigoma? HUYO NI MSAKA TONGE AMESHA POTEZA MWELEKEO
  5. L

    Ikiwa ukali wa Mbwa unatokana na mwenye Mbwa, basi Hosea kaonewa

    Hosea ameonewa mbona Sospeter Muhongo amerudi kwenye wizara ileile na alie ibua sakata la Escrow ametoswa ubunge hii ni aibu kwa Taifa
  6. L

    CHADEMA Tarime wavurugwa na Mbowe

    Sidhani wala sifikirii kama itakuwa kweli maana Mbowe hawezi kuwapangia ila huyo mleta mada ni mamluki
  7. L

    Ester Matiko ashindwa nguvu na madiwani wake

    Acha umbea wewe mfuasi wa ccm kama na wewe jipu limeiva subiri zamu yako ifike Ukawa wakutumbue
  8. L

    Kwanini ni aibu sana kuishabikia CHADEMA siku hizi?

    Labda wewe ndo unaichukia coz wewe ni kibaraka wa ccm
  9. L

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hoseah

    Sasa amteue MTU mwaminifu na mtiifu atakae Fanya kweli siyo blabla kama za Jk
  10. L

    Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

    Hakika wewe ni raisi wetu wa halali Mungu akupe uzima, nguvu na afya njema pia akuongoze katika safari yako.
  11. L

    RPC wa Mwanza Charles Mkumbo, apandishwa cheo

    Hiyo ndo ccm ni ile ile unadhani mkumbo alipata wapi nguvu ya kufanya Yale aliyoyafanya kwa marehemu Alphonse Nawazo. Jibu unalo sasa kwa hali hii kwanini asipandishwe cheo
  12. L

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Asiwasahau Samwel Sitta na Harrison Mwakyembe maana hao nao walikuwa mawaziri wakati hayo madudu yanafanyika vinginevyo itakuwa ni MASINEMA TU.
Back
Top Bottom