Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Una ID ngapi mkuu?Ni kweli kuna mgogoro kati ya Esther na madiwani wake, chanzo ni mh mbunge kutaka kuweka mwkt wa halmashauri anaemtaka yeye, toka jana vikao vimekaa na wameshindwa kuelewana.
Kuna shinikizo toka makao makuu kumsuport esther na vitisho juu, but madiwani wamegoma wanataka waweke mtu watakaemchagua wao sio Esther.