Recent content by Lilian Godwin

  1. L

    Business ideas (Bure)

    Hata ya kukopesha pia.
  2. L

    Nimemsamehe mapema

    Kama ni changamoto ni mama yake basi unaweza mkaongea mkayamaliza ya naweza kana ila jua kua kuna mapenzi na upendo unaweza ukamchukua na kumuona kwa sababu ya mapenzi and then yakaja kuisha. Na mkaachana na pia kama una upendo ni her pia Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Nimemsamehe mapema

    To be honest naweza kukwambia kwamba uusikilize moyo wako unataka nini kwa uyo dada na pia mshirikishe sana Mungu katika kila stege unayopitia. Inawezekana uyo akawa mke wako au la. All the best
  4. L

    I think am in love with the wrong person

    Kwa ushauri zaidi njoo pm Sent using Jamii Forums mobile app
  5. L

    I think am in love with the wrong person

    Dada kwa ushauri tu siku zote mwanamke ndio anajishusha kwa mwanaume. Na hata kama mwanaume amekukosea kwa mwanaume ni vigumu sana kujishusha. Kwa hali uliyonayo utabidi ubadilike cause ukiendelea ivyo utaishia kuachwa kila siku Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Msaada: Nimekopa hela ili nilipe mahari lakini sasa binti anasema amepata mtu mwingine

    Jamani sisi wanawake tuna mambo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. L

    Pochi ya binti wa Marekani VS Pochi ya binti wa Tanzania

    Jamani anaekopesha kwa riba a nione
Back
Top Bottom