Usichovye kwenye lile eneo ulilochanja tu yan kucha yote na sehem ya juu kidogo ya kucha ipate maj hayo ya betri utahis maumiv pale ulipojichanja ila patatulia na usikioshe mpaka kikauke chenyewe kabsa haichukui masaa matano we acha tu dam igandie pale cha muhim n maj ya betri kumchoma mdudu
Chukua kiwembe alaf chanja lile eneo lenye uvimbe kidogo dam itatoka then chovya kidole kwenye maji ya betri ya gar mara moja tu alafu toa hapo umepona.
Kitakauka chenyewe hamna hata kukamua usaha, huwez amini lakin nilishauriwa hivyo nikafuata ilichukua siku mbil tu kidole kimepona.
ndugu jf doctor nina tatizo, mguu wangu wa kushoto ganzi inanisumbua, kuunyanyua na kutembea naweza ila nasikia ganzi, nikilala ndo nasikia maumiv yan hiyo ganzi yenyewe na nikiwa natembea kuifeel ile ganzi kunapungua ila nikisimama au kukaa naisikia lakin kwenye mguu wa kulia niko poa ni huu...
hiz sim za huawei y530 memory anayoachiwa mtumiaji n kma 1.8 gb sasa hzo application znazokuja kwenye sim zpo ambazo znachukua sehem kubwa ya memory kma utaziapdate au kuztumia, kama chrome browser heb uniinstal updates kwenye hiyo mm hyo ndo ilikuw inazngua, kuna baadh ya app znatumia nafas...
tecno cio cim, mzgo huawei y530 bei the same na tecno h6 ila inafunction fresh, spec za tecno h6 zko fresh ila sim cyo imara developers waliifanya iwe nyepes kiuzto kwa kuweka vfaa simple simple, kisim chepes bt vulnerable
Mim ni mmoja wa watumiaji wazuri wa hii sim ila yangu n tofauti kidogo, iko telstra branded kitu kinachonikera ni pale ninapojaribu kuinstall uc browser for android inagoma(haiinstall) inasema your phone doesnt support live walpaper,
kwa yeyote anayetumia sim kama hii naomba ajaribu kutest...
Mtu unaweza kununua simu hujui yawezekana labda iliflashiwa itumie lain zote tofauti na mwanzo kama tunavyozijua simu za Tigo, sa n vitu gan vitanisaidia kujua kama simu(smartphone) imeflashiwa au la, anayejua huu ndo wakt
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.