unajijua kiundani na kujitambua Kwa kina na kiuhalisia ya kwamba mwenyewe ulivyo huna tofauti na Tido anayetetea kitumbua chake.
Kaniki haisafishiki,chukua chako sepa...
Huna maajabu,utakayosema yanaeleweka...yanafahamika....yanatambulika
Itoshe kusema ww ni sehemu ya tatizo...mfano wa polepole na gwajiboy
Maslahi yako binafsi yamekatwa.!
"Sheria nyingi hazipingani na mpango wa Mwenyezi Mungu "
''Hakuna sheria unasema watu watekwe''
''kila MTU atavuna alichopanda"
" wafuasi wa Gwajima Wana haki ya kuabudu" Ibara ya 19
Pamoja na uhovyo wa bashite na mjomba wake...kwenye suala la usafi angalao walijitahidi.
Gari za taka hakuna ,na hayupo anayejua nn kifanyoke,japo sote tunajua nini kilikuwa kikifanyika mpaka miji yetu ikawa safi
Ni sawa waislam kuishabikia Iran inapowapa silaha Hezbollah,Hamas au wa Houth.!?
ama Ayatollah anapoongoza Kwa kusema...
~death to Israel
~death to America
~death to infidel.!?
Hayo ni magaidi yanajificha Kwenye dini
Na ndiyo sababu hata Allah ameshindwa kuwatetea kuanzia Haniyeh,Sinwar na hata Nasrallah
Hamas, Hezbollah, Houth, Ayatollah na Asad ..... Allah kawachinjia baharini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.