Recent content by LIKE

  1. LIKE

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    unajijua kiundani na kujitambua Kwa kina na kiuhalisia ya kwamba mwenyewe ulivyo huna tofauti na Tido anayetetea kitumbua chake. Kaniki haisafishiki,chukua chako sepa...
  2. LIKE

    Britanicca: Alhamisi 28/08/2025 nitaleta Uzi ambao sidhani kama Taifa litabaki moja

    Huna maajabu,utakayosema yanaeleweka...yanafahamika....yanatambulika Itoshe kusema ww ni sehemu ya tatizo...mfano wa polepole na gwajiboy Maslahi yako binafsi yamekatwa.!
  3. LIKE

    Padri Kitima: Polisi wenyewe wanalijua hili tukio vizuri mbele ya Mungu wanalijua vizuri

    "Sheria nyingi hazipingani na mpango wa Mwenyezi Mungu " ''Hakuna sheria unasema watu watekwe'' ''kila MTU atavuna alichopanda" " wafuasi wa Gwajima Wana haki ya kuabudu" Ibara ya 19
  4. LIKE

    PreGE2025 Toka mwaka uanze umeona gari la taka mtaani kwako mara ngapi? Wanasiasa na Mazingira ni kama kisogo na kisigino, viko mbalimbali!

    Pamoja na uhovyo wa bashite na mjomba wake...kwenye suala la usafi angalao walijitahidi. Gari za taka hakuna ,na hayupo anayejua nn kifanyoke,japo sote tunajua nini kilikuwa kikifanyika mpaka miji yetu ikawa safi
  5. LIKE

    Je, ni sahihi Wakristo kuishabikia Israeli inapowapa vipondo majirani zake?

    Ni sawa waislam kuishabikia Iran inapowapa silaha Hezbollah,Hamas au wa Houth.!? ama Ayatollah anapoongoza Kwa kusema... ~death to Israel ~death to America ~death to infidel.!?
  6. LIKE

    CHADEMA inakufa kifo cha Mende - Nilijua tu

    Hujui chochote kile....na huna lolote CDM ipo na itadumu.
  7. LIKE

    Nimepata Lishangazi la Kireno nimekuja kwao Portugal wamechoka kama bongo tu

    Jinsi unavyompimia naye anakupimia...na anajua unayo tamaa ya mali Hapo ni mafichoni
  8. LIKE

    Je, alichokifanya Ismail Hanniyeh kufurahia mauaji ya oct 07,2023 ni halali kwa mjibu wa uislamu?

    Clip inaonyesha Haniyeh akisujudu akisema 'Allah Akbar' Je ilikuwa ni halali Kwa Haniyeh kushangilia
  9. LIKE

    Je, alichokifanya Ismail Hanniyeh kufurahia mauaji ya oct 07,2023 ni halali kwa mjibu wa uislamu?

    Hayo ni magaidi yanajificha Kwenye dini Na ndiyo sababu hata Allah ameshindwa kuwatetea kuanzia Haniyeh,Sinwar na hata Nasrallah Hamas, Hezbollah, Houth, Ayatollah na Asad ..... Allah kawachinjia baharini
Back
Top Bottom