Recent content by Likavalayota

  1. Likavalayota

    Ajali Iliyosababisha Kifo cha Deo Filikunjombe ni ya Mungu au ya Shetani?

    Mkuu hawa jamaa wanachojua wao ni ten percent tu basi, suala la usalama wa chombo wao haiwahusu ilimradi Ganji ishaingia.!
  2. Likavalayota

    Ajali Iliyosababisha Kifo cha Deo Filikunjombe ni ya Mungu au ya Shetani?

    Mkuu, hawa jamaa wakishapiga dili na kuzikunja ten percent basi wanakua wamemaliza kila kitu. Suala la usalama wa chombo wao inakua haiwahusu ilimradi washakunja chao!
  3. Likavalayota

    Ajali Iliyosababisha Kifo cha Deo Filikunjombe ni ya Mungu au ya Shetani?

    Muda mwingine Mashetani ni cc wenyewe, mambo ya ten parcent yanatuumiza sana! Watu wanapiga dili hadi kwenye ndege ya rais sembuse Chopa? Wananunua mascrepa kwa bei ya Chopa mpya unategemea nn! Juzi tu tumepigwa changa la macho kwenye meli ya Mv Bagamoyo. Bongo kila kitu usanii tu!
  4. Likavalayota

    Chopa Tanzania zinaendeshwa kama Hiace za Kiborloni

    Hizi ten persent zitatumaliza sana wabongo! Ndege ya rais tu watu wamebutua sembuse hv vichopa?
  5. Likavalayota

    Chopa ya Livingstone Lusinde yapata hitilafu, yashindwa kuruka

    Mpaka vya kutumia wenyewe wanachakachua! Hawa jamaa balaa.
  6. Likavalayota

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Kuna namna tu, siyo bure.
  7. Likavalayota

    Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

    Km 1 ya lami unajua gharama yake au unashabikia tu!
  8. Likavalayota

    Baraza Kuu La Waislamu Tanzania (BAKWATA) lamteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti Mpya

    Angepewa Sheh. Ponda ningewaelewa! Hawa wengine ni vibalaka wa ccm, hawana jipya!
  9. Likavalayota

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Ni kupoteza muda kumjadili mtu kama diamond!
  10. Likavalayota

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Kama nitashiriki kwenye show yoyote ya huyu jamaa, Mungu anilaani!
  11. Likavalayota

    Urejeshaji wa Fomu za wagombea Urais, Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Huku sasa kutaka bifu na Mtikila!
  12. Likavalayota

    Ahadi ya Meli mpya kwa wana Kagera

    Subirini iko yard!
  13. Likavalayota

    Zilikuwa mbwembwe tu, huku mtaani ni Magufuli tu

    Fafanua, ni mtaa gani? Kama Lumumba au Magogoni uko sahihi.
  14. Likavalayota

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    Kabisa mkuu!
Back
Top Bottom