Recent content by Lighondi

  1. Lighondi

    NIMR watangaza nafasi ya kazi, muombaji kaishalipiwa visa ya US safari ya kikazi

    Kuna rafiki yangu kanipigia simu kwamba ameitwa kwenye Interview ya hiyo hiyo nafasi wiki ijayo katikati. Naogopa kumwambia juu ya hii taarifa. Wacha aende tu akanoe utaalamu wake wa kujielezea kwenye interview japo kazi tayari ina mwenyewe :):):)
  2. Lighondi

    Jinsi nitakavyotengeneza muunganiko(bond) kati yangu na mwanangu alieko tumboni

    Sijawahi kufanya hayo yote mpaka alipozaliwa. Na bado Nisipokuwepo nyumbani wote watajua sipo na sipo kwa muda gani. Nitatajwa mie weeeee mpaka nitakaporudi nyumbani. Sio lazima kuanza akiwa tumboni maana bado utakuwa na muda mrefu wa kuwa naye na kujenga huo ''Muunganiko'' baada ya kuzaliwa...
  3. Lighondi

    Pentagon advisor: Tanzania has more moral authority than all countries in East Africa combined

    Huyu Nantulya sounds like Mmakonde mwenye asili ya Kilwa.
  4. Lighondi

    Rais; Piga marufuku wadada kutupiga mizinga, Hapa kazi tu

    Kama ina lengo la kushawishi, Ni kuhonga. Haijalishi ni ya thamani gani. Zaidi ya hapo maana ya hongo inapotea...
  5. Lighondi

    Rais; Piga marufuku wadada kutupiga mizinga, Hapa kazi tu

    Kuna wanaohonga bia mbili kuna wanaohonga majumba na magari. Kuhonga ni kuhonga tu...........
  6. Lighondi

    Mtazamo: Naona Giza mbele Kweye utawala wa Dr. Magufuli

    Kama hujiamni vileeee! Soma tena uelewe mtoa mada anasemaje. Hapana mahali amesema Lowasa ndio dawa. By the way ameweka wazi kuwa ni maoni yake so wewe kutofautiana naye haimaanishi hajakua kiakili.....
  7. Lighondi

    CCM fungueni macho

    Kwakweli hiyo hali ni kila mahali. Sijui itakuwaje. Ngoja tusubiri.
  8. Lighondi

    Rais mstaafu kulipwa zaidi ya milioni 300 ni kwa kazi gani anayoifanya akiwa amestaafu?

    Haya tuambie wewe prezoo anapiga hela ngapi kwa mwezi??
  9. Lighondi

    Maajabu ya Musa: Miaka 51 ya Kenya, Miaka 54 ya Tanzania

    Shida sio koloni la nani, barabara nyingi nzuri kenya zimejengwa ndani ya miaka 10 iliyopita. Hizo flyovers almost zimekamilika mwaka uliopita. Tuache utetezi usio ma mashiko. Ukweli ni kwamba shida ya foleni kwa Tanzania inasababishwa na viungio (junctions). Flyovers zingepunguza tatizo kwa...
  10. Lighondi

    Kazi ya kilimo cha bustani

    Good idea
  11. Lighondi

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Uko sahihi kabisa. Dizaini hii ya madem ni shiiiida. Ninaye mmoja (si demu wangu, ni staff mwenzetu) mahali pangu pa kazi yaani ni pasua kichwa. Kila anasema huyu mdada akija kuolewa mume wake ana kibarua.....
  12. Lighondi

    Picha zilizofunika mikutano ya UKAWA

    Duuuu!!
  13. Lighondi

    Kikosi cha kampeni cha CCM chatajwa kuongozwa na Kinana, Nape na Mwigulu ndani

    Kwanini tuandikie wino na mate yapooo!! Tusubiri hapo kipenga cha kampeni kitakapoliaaa..
Back
Top Bottom