Salamu wakuu
Kama kichwa cha habari hapo, natafuta soko la maziwa ya ng'ombe kuna lita 90 za maziwa kila Siku yanaweza patikana.
Kwa mwenye mahitaji au anayejua soko nitashukuru sana
Tuwasiliane email bunyinyiga2014@gmail.com
Asante sana
Kwa hiyo magari ya Ikulu yanatumia lita moja kwa 1km?
Upuuzi kama huu ndio unaondoa heshima za harakati kupitia mitandao, tunaonekana kama waropokaji kwa sababu ya wajinga wachache, yaani kwenda Rwanda ni 2bn? Sasa Kama ni hivyo JK kwa Safari Zake kwa uchumi wetu tungezimudu kweli ?
Baadhi ya...
Kwenye rangirangi niko na wewe, hawa watu tuhachane nao, wako so demanding, na tena tukihachana nao urafiki wetu uwe wa East Africa tu.
Hawa ni wababishaji, wapige kura ya kujitenga na sio kutupigia kelele za Muungano wa Mkataba, ina maana wao wakitaka kitu sisi tufuate tu!!!!! kama wao...
Kwa Katiba ya sasa SEIF ana wajibishwa na nani?
Bwana Shein anaweza kumfukuza kazi SEIF? makubaliano ya UMOJA ni Yapi?
walikubaliana je? kwamba SEIF akifukuzwa (japo sijui na nani?) utaratibu wa kuchangua mbadala wake ni upi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.