Kaa mbalu.
Masuala ya ndoa acha mtu yampasue kichwa mwenyewe ndio ataelewa, hii ya kushaur shauri huwa haileti matokea mazuri. Atakuja tu kujua,ila mpaka wakat huo, punguza ushkaji na washkaji zako wote wawili plus huyo manzi. Kata mawasiliano nao wote.
Nimepata taarifa kuwa ameamua kurudi nyumbani toka mtaani alikopamga chumba kimoja. Maana siku alinitia ndani 15/01/2025 polisi wakanipokonya funguo wakampa akahamisha vitu kwenda kupanga mtaani.
Last week tar 12/01/2026 nimeambiwa amerudi pale nyumbani. Sijasema lolote. Sijui ni kitu gani...
Ushauri mfupi na mwema ni huu: KAMA BADO UNAJITAFUTA KWENYE MAISHA HAYA BASI USIFIKIRIE KUOA wala KUWA NA LOVE ATTACHEE.Piga Lipia Tembea. MAKE SURE NO STRINGS ATTACHED
No meaningful updates chief ila ni kwamba
1. Nilibaki na msimamo wa kuendelea na maisha yangu
2. Mpaka muda huu naongea hajuna mali iliouzwa, ule moto wake wa kutaka kupiga mnada mali umepoa sana
3. Gari imeozea juu ya mawe, nyumba yetu nzuri kubwa ya kisasa imegeuza pango la wahuni,
4...
Kwakwel sikuwah hata kuwaza et Tanzania ingekuja fika ilipo leo. Never aisee. Ujue kama umegjndua hata hapa jukwaan zile mada za kumsema Kagame na Rwanda yake zimeisha kabisaaaa maana yale ya kule ndio yanafanyika hapa. Tena bora PK alikua ana deal na magwiji hapa bongo vyombo vina deal na sis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.