Ni sahihi kaka.
Katika kesi yangu na ex wife ambapo alikua anapambana tuuze nyumba ambayo niliamua kumuachia ila watoto wawe na pakuishi yeye akawa anapambana iuzwe eti kwakua nilikubali mgao, aisee ilinisumbua sana kwenye shauri la kutekeleza hukumu, nikawa naipiga dana dana. Mara sitokei...
No offense ila mi nimempenda Mwinuka, anauliza maswali ya kitaalam na yako ndani ya context, anaku provoke kama haku provoke hivi. Yuko vizuri tumpe naye credit zake. Golugwa bado anajitahidi kujibu pia.
Tusipinge kila kitu, panastahili tuwape sifa zao pia
Umesoma hiyo cv yake kwa ufupi hapo mkuu ukashindwa kuelewa huyu anaweza kuws mtu wa namna gani?
Au unadhani ni professor wa kawaida huyu,
Hebu check
Mkurugenzi wa mafunzo wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa NDC kinachotoa mafunzo ya usalama -stratejia- ulinzi,
. pia ni mtaalamu wa Usalama, Ulinzi...
Kuna namna tu ya kumuandaa lazima iwepo, hatakama kazi hiyo hatafanya yeye sababu na muda na nafasi inawezekana wapo wanaofanya. Wako wana sheria wengi wanaosimamia kesi hii upande wa Lissu
Huna hata haja ya kumiliki vichomi ,we vipitie tu halaf vitupie kuleee.
Utamiliki vingapi.
Unaanzaje kutamani kumiliki Liability? Hizo ni high maintenance expense figures. You dont need, just use them
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.