Recent content by LiFe 2-point-0

  1. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kuna mapengo hayazibiki🥹

    Tulia tu ndio umeshaingia hilo darasa na uta fuzu tu. Dunia imetufundisha kuwa na mioyo ya chuma hata sisi tulikua kama wewe.
  2. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kuna mapengo hayazibiki🥹

    Kabisa kabisa. Hakunaga unreplaceable person dunia hii. Siku 2 nyingi ushasahau kila kitu 😂
  3. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Ufala huu Hapaaaanaaaa
  4. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa mazingira/maisha unafanya mtu kuwa na akili zaidi

    Sio wakat wote yaweza kuwa kweli. Inategemeana sana na maturity ya mtu husika japo ni kweli unaweza tumia changamoto kama catalyst ya ku achieve more
  5. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshikilia Hatma ya ndoa ya Rafiki yangu

    Nafikiri anachomaanisha ni kwamba "usiingilie mambo ya nyumba ya mtu"
  6. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshikilia Hatma ya ndoa ya Rafiki yangu

    Kaa mbalu. Masuala ya ndoa acha mtu yampasue kichwa mwenyewe ndio ataelewa, hii ya kushaur shauri huwa haileti matokea mazuri. Atakuja tu kujua,ila mpaka wakat huo, punguza ushkaji na washkaji zako wote wawili plus huyo manzi. Kata mawasiliano nao wote.
  7. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    Nimepata taarifa kuwa ameamua kurudi nyumbani toka mtaani alikopamga chumba kimoja. Maana siku alinitia ndani 15/01/2025 polisi wakanipokonya funguo wakampa akahamisha vitu kwenda kupanga mtaani. Last week tar 12/01/2026 nimeambiwa amerudi pale nyumbani. Sijasema lolote. Sijui ni kitu gani...
  8. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya Klabu ya Simba?

    Pole zao
  9. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana wenzangu msioe wanawake wa aina hii. Kumbukeni dunia haina huruma kwa mwanaume

    Ushauri mfupi na mwema ni huu: KAMA BADO UNAJITAFUTA KWENYE MAISHA HAYA BASI USIFIKIRIE KUOA wala KUWA NA LOVE ATTACHEE.Piga Lipia Tembea. MAKE SURE NO STRINGS ATTACHED
  10. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    No meaningful updates chief ila ni kwamba 1. Nilibaki na msimamo wa kuendelea na maisha yangu 2. Mpaka muda huu naongea hajuna mali iliouzwa, ule moto wake wa kutaka kupiga mnada mali umepoa sana 3. Gari imeozea juu ya mawe, nyumba yetu nzuri kubwa ya kisasa imegeuza pango la wahuni, 4...
  11. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Huyu ndio mmiliki halisi wa Lake Oil

    Sioni jipya wala lenye maana siku hizi JF
  12. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Mpinzani Aliyebakia: John J. Mnyika… Wengine Watabakia?

    Ni kweli lakin kamba hukatika pembamba so let's let the time speak
  13. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Acha tusubiri ,sio mbali hata
Back
Top Bottom