Recent content by LiFe 2-point-0

  1. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Michango ya Harusi Single 100,000 na Dabo 150,000, watu wanaumia kimoyomoyo!

    Mkuu kwanu hufahamu namna ya ku restrict whatsap yako mtu asikuunge group bila ridhaa yako?
  2. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Ni sahihi kaka. Katika kesi yangu na ex wife ambapo alikua anapambana tuuze nyumba ambayo niliamua kumuachia ila watoto wawe na pakuishi yeye akawa anapambana iuzwe eti kwakua nilikubali mgao, aisee ilinisumbua sana kwenye shauri la kutekeleza hukumu, nikawa naipiga dana dana. Mara sitokei...
  3. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    No offense ila mi nimempenda Mwinuka, anauliza maswali ya kitaalam na yako ndani ya context, anaku provoke kama haku provoke hivi. Yuko vizuri tumpe naye credit zake. Golugwa bado anajitahidi kujibu pia. Tusipinge kila kitu, panastahili tuwape sifa zao pia
  4. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030

    Wewe umeona kitu ambacho Pascal Mayalla aidha hajaona au amekipuuzia
  5. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030

    Umesoma hiyo cv yake kwa ufupi hapo mkuu ukashindwa kuelewa huyu anaweza kuws mtu wa namna gani? Au unadhani ni professor wa kawaida huyu, Hebu check Mkurugenzi wa mafunzo wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa NDC kinachotoa mafunzo ya usalama -stratejia- ulinzi, . pia ni mtaalamu wa Usalama, Ulinzi...
  6. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Yan mashart ya hawa watu siku hiz ni msgum kuliko kutafuta hela za kichawi
  7. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia ukijinadi wewe sio muoga uhalisia wake wewe ni muoga

    It does not apply to T.A.L
  8. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Totozi kama hizi ni nouma

    Sawa kinazama, kikizama kinafika wapi? Kinagusa wapi??😂😂
  9. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Kuna namna tu ya kumuandaa lazima iwepo, hatakama kazi hiyo hatafanya yeye sababu na muda na nafasi inawezekana wapo wanaofanya. Wako wana sheria wengi wanaosimamia kesi hii upande wa Lissu
  10. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Kwakwel sijui mkuu, nimeongea tu. Hivj haiwezekani eti??
  11. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Totozi kama hizi ni nouma

    Ni kweli ,sijakataa. Ndio maana nimesema hao huna haja ya kuwamiliki. Uwe na pesa kuwatumia tu, maana wako wengi. Utamiliki wangapi?
  12. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Totozi kama hizi ni nouma

    HIzo unatakiwa kujua unachofanya
  13. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Totozi kama hizi ni nouma

    Huna hata haja ya kumiliki vichomi ,we vipitie tu halaf vitupie kuleee. Utamiliki vingapi. Unaanzaje kutamani kumiliki Liability? Hizo ni high maintenance expense figures. You dont need, just use them
  14. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Totozi kama hizi ni nouma

    Hizo mwamba kama hujiwez kaa nazo mbali sana. Nimetoka kuikamua moja kama hii Hapa Mafinga jioni ya leo. Unatakiwa kuwa full package haswaa
  15. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Kwakifupi Lissu anawapanga kimkakati sana. Tusijeshangaa akina Warioba akina Mafwele akina Mbowe wanaombwa kuja kutoa ushahidi
Back
Top Bottom