Hiyo biashara hailipi. Wanawake wenye pesa hizo kibongo bongo ni wachache sana. Kwakifupi supply na demand mizani hai balance kabisa. Sasa kuishi kwa ngekewa ni moja ya viashiria vikubwa kuwa utaishia kuwa masikini
Kabisaa kabisaa kabisaaaa.
Ujuha huu ni wa kiwango cha juu sana.
Acha wakomeshwe tu mpaka akili ziwakae sawa. Halaf anavyolalamika hapa ilitakiwa tumtukane mpaka afute uzi huu wa kijinga
Mara zote ni wale walioachika (hasa wanawake) ndio husambaza hii sumu like wanajribu kuwasaidia wemfine kumbe kiuhalisia wanataka na wenzao wawe kama wao. Yan wanachuki kuona wao wame fail so na wengine(wanawake) wakose kama wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.