Recent content by LiFe 2-point-0

  1. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Sasa kijana tumia fursa kabla haujawahiwa

    Hiyo biashara hailipi. Wanawake wenye pesa hizo kibongo bongo ni wachache sana. Kwakifupi supply na demand mizani hai balance kabisa. Sasa kuishi kwa ngekewa ni moja ya viashiria vikubwa kuwa utaishia kuwa masikini
  2. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Sasa kijana tumia fursa kabla haujawahiwa

    Polee.
  3. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Dunia imefanikiwa sana kuwafanya watu wa concerntrate na vitu vya kijinga jingaaaa.
  4. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Maisha hayana ramani ya mtu mmoja — kila mtu ana safari yake

    Uzi mzuri japo kwa mtu uliyezoea sana kutumia ChatGpt, unaona hapa anauhusika 100% kuanzia main content mpaka replies za mtoa mada
  5. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Je kuna kimiminika,karainishi au mafuta ambayo yana kazi sawa na faida sawa kama za CONDOM?

    Kwani vvu wanaingiaje mzee? Si michubuko? No michubuko no vvu
  6. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Ugly truth. Inachukiza sana. Aaaahhh mimi kwakweli huu uhuni sifanyiwi aisee
  7. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Kabisaa kabisaa kabisaaaa. Ujuha huu ni wa kiwango cha juu sana. Acha wakomeshwe tu mpaka akili ziwakae sawa. Halaf anavyolalamika hapa ilitakiwa tumtukane mpaka afute uzi huu wa kijinga
  8. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Moja ya uongo watu wanaodanganywa ni kwamba waliopo kwenye ndoa wanateseka jambo ambalo sio kweli

    Haya ni makasiriko ya masingle maza au ma single concord.
  9. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Moja ya uongo watu wanaodanganywa ni kwamba waliopo kwenye ndoa wanateseka jambo ambalo sio kweli

    Mara zote ni wale walioachika (hasa wanawake) ndio husambaza hii sumu like wanajribu kuwasaidia wemfine kumbe kiuhalisia wanataka na wenzao wawe kama wao. Yan wanachuki kuona wao wame fail so na wengine(wanawake) wakose kama wao
  10. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Stress free
  11. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Noooooo booooodyyyyyy
  12. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Mi nikajuaga mna maanisha mnavyoji mwambafy tiktok kuwa mnafurahia kuwa single mazas na tena pesa ikiwepo ndio kabisaaa. Kumbe ni act tu?
  13. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Mbona unawasemea watu lakini
  14. LiFe 2-point-0

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Taharuki: Mchezaji Neo Maema Atoweka Kambini Alfajiri ya Leo

    Na hawa nao wakatwe
Back
Top Bottom