Recent content by LiFe 2-point-0

  1. LiFe 2-point-0

    Ugumu wa mazingira/maisha unafanya mtu kuwa na akili zaidi

    Sio wakat wote yaweza kuwa kweli. Inategemeana sana na maturity ya mtu husika japo ni kweli unaweza tumia changamoto kama catalyst ya ku achieve more
  2. LiFe 2-point-0

    Nimeshikilia Hatma ya ndoa ya Rafiki yangu

    Nafikiri anachomaanisha ni kwamba "usiingilie mambo ya nyumba ya mtu"
  3. LiFe 2-point-0

    Nimeshikilia Hatma ya ndoa ya Rafiki yangu

    Kaa mbalu. Masuala ya ndoa acha mtu yampasue kichwa mwenyewe ndio ataelewa, hii ya kushaur shauri huwa haileti matokea mazuri. Atakuja tu kujua,ila mpaka wakat huo, punguza ushkaji na washkaji zako wote wawili plus huyo manzi. Kata mawasiliano nao wote.
  4. LiFe 2-point-0

    Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    Nimepata taarifa kuwa ameamua kurudi nyumbani toka mtaani alikopamga chumba kimoja. Maana siku alinitia ndani 15/01/2025 polisi wakanipokonya funguo wakampa akahamisha vitu kwenda kupanga mtaani. Last week tar 12/01/2026 nimeambiwa amerudi pale nyumbani. Sijasema lolote. Sijui ni kitu gani...
  5. LiFe 2-point-0

    Vijana wenzangu msioe wanawake wa aina hii. Kumbukeni dunia haina huruma kwa mwanaume

    Ushauri mfupi na mwema ni huu: KAMA BADO UNAJITAFUTA KWENYE MAISHA HAYA BASI USIFIKIRIE KUOA wala KUWA NA LOVE ATTACHEE.Piga Lipia Tembea. MAKE SURE NO STRINGS ATTACHED
  6. LiFe 2-point-0

    Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    No meaningful updates chief ila ni kwamba 1. Nilibaki na msimamo wa kuendelea na maisha yangu 2. Mpaka muda huu naongea hajuna mali iliouzwa, ule moto wake wa kutaka kupiga mnada mali umepoa sana 3. Gari imeozea juu ya mawe, nyumba yetu nzuri kubwa ya kisasa imegeuza pango la wahuni, 4...
  7. LiFe 2-point-0

    Huyu ndio mmiliki halisi wa Lake Oil

    Sioni jipya wala lenye maana siku hizi JF
  8. LiFe 2-point-0

    Mpinzani Aliyebakia: John J. Mnyika… Wengine Watabakia?

    Ni kweli lakin kamba hukatika pembamba so let's let the time speak
  9. LiFe 2-point-0

    Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Acha tusubiri ,sio mbali hata
  10. LiFe 2-point-0

    Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Kwakwel sikuwah hata kuwaza et Tanzania ingekuja fika ilipo leo. Never aisee. Ujue kama umegjndua hata hapa jukwaan zile mada za kumsema Kagame na Rwanda yake zimeisha kabisaaaa maana yale ya kule ndio yanafanyika hapa. Tena bora PK alikua ana deal na magwiji hapa bongo vyombo vina deal na sis...
  11. LiFe 2-point-0

    Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Mungu atubariki ikawe succesful
  12. LiFe 2-point-0

    Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Natamani sana iwe hivi ila nasita but ikitokea nadhan nitakua na furaha sanA
  13. LiFe 2-point-0

    Mji umepoa sana, sababu ni nini?

    Sasa nani ni organizer?
Back
Top Bottom