Recent content by Lidjitulibayabaya

  1. Lidjitulibayabaya

    Hili jambo lilinisumbua sana

    Sipati picha ndio mngeenda kutambulishana kwa familia mkiwa tayari na mtoto mmoja, mimi kama baba ningewatoa baru na viboko.
  2. Lidjitulibayabaya

    Finally nimepata relief...

    Salai wangai wai waaa!! Nikadhani umeponea kupata ngoma kumbe ni mimba? Ninyi kumbe ndo mnalazimisha dada zetu watoe mimba au kutupa vichanga kwasababu ya uoga wa kiboya wa kuogopa majukumu, wewe ni wakuchapwa viboko heavy visivyopungua 20 tena vyenye pilipili.
  3. Lidjitulibayabaya

    Maeneo wanayokula miguu ya Kuku na utumbo kuna harufu ya umasikini, kimbia hayo maeneo

    Kwahiyo kuhamia ushuani ushaona wanaokaa uswazi sio watu, kila mtu anaishi lifestyle yake kutokana na kipato chake, hakuna mtu ana penda maisha duni. Wewe ngoja life likucharaze viboko mbona utaitafuta hiyo miguu ya kuku unayo idharau saa hii. Matako yashalia mbwataa!! Hongera mkuu.
  4. Lidjitulibayabaya

    Ingawa ni wakati mgumu wa hisia kali za majonzi na simanzi, Wamama jitahidini kudhibiti maneno yenu mbele ya waombolezaji

    Vilio vya kinafiki, kuna watu huwa wanapiga kileo kwanza ili waangue vilio heavy msibani hatimae ndo wanaropoka maneno ya hovyo, Shubamit.!!! Hao ni wakuwasha viboko tuone huo uchungu.
  5. Lidjitulibayabaya

    Weekend panachangamkaga Sana humu ndani

    Naona umeskip ule upande ulipo weka vi U-FRESH vya watoto vya mia mia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila kuogongea sio dhambi, sikuchapi viboko usiogope mkuu
  6. Lidjitulibayabaya

    Weekend panachangamkaga Sana humu ndani

    Sawa sawa naona fridge la home umejaza vijuisi vya watoto (u-fresh) vya mia mia
  7. Lidjitulibayabaya

    Weekend panachangamkaga Sana humu ndani

    Yaan uje dukani kwangu upige picha vinywaji badala ya kununua, nitakuwasha viboko hadi ushangae
  8. Lidjitulibayabaya

    Wanawake na ulevi sasa ni aibu kubwa!

    Wanaume mlio kuwepo eneo hilo mlikuwa wazembe sana, mlishindwaje kuwatembezea viboko yaani mwanamke alewe alafu atukane/afanye vurugu mbele zenu nyinyi vidume hiyo ni dharau kubwa sana.
  9. Lidjitulibayabaya

    Ukweli kuhusu formula ya maisha na mafanikio

    Katika dini inasemwa "asiye fanya kazi na asile" Wahenga nao wakasema "kama unataka mali utazipata shambani" pia "mgaagaa na upwa hali wali mkavu" Mimi ninasema "kaa kizembe life likucharaze viboko utie akili"
  10. Lidjitulibayabaya

    Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

    Ni wazi kabisa Wewe unatafuta viboko kwa nguvu, wewe hujawahi ona situation mtu anapona au okoka kifo ambapo katika hali ya kawaida huyo mtu asinge pona, hadi watu wanashangaa huyu mtu kaponaje?
  11. Lidjitulibayabaya

    Kifurushi gani unatumia kwenye simu?

    Kuliko kununua vifurushi vya Tigo ni bora ukanunue kifurushi cha unga ukale ugali na watoto, siku ntaenda kuwashushia mvua ya viboko wale jamaa hawata amini
  12. Lidjitulibayabaya

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Kuna watu wanastahili viboko tena vingi tuu, mtaani unaacha warembo unaowaona physically unaenda huko kwenye midosho ya Badoo alafu unategemea upate mume/mke mwema.
  13. Lidjitulibayabaya

    Ni nani aliyepandikiza Sumu hii isiyo ya Kiutu ndani ya Mioyo ya Waswahili (Watanzania) wengi hasa hasa Siku hizi?

    Tatizo ni wewe mwenyewe umeshajiwekea psychology kwamba ukipigiwa simu katika hizo situation ni lazma uombwe hela, ikitokea huna ndo kama hivi unaanza kujihami. Wewe kuwa free tuu watu kama nyie ni viboko vichache tuu vinahitajika kurekebisha mindset zenu
  14. Lidjitulibayabaya

    Huu ni Ugonjwa au ni nini?

    Hako kaugonjwa kanasababishwa na kutoshughulikiwa vyema kitandani, sasa na wewe kama uliwaacha hivi hivi unahitaji viboko visivyo pungua 20
  15. Lidjitulibayabaya

    Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

    Kwanza aje nimuweke viboko 20 vya makalio kwa kuendekeza punyeto baada ya hapo nimuelekeze hospitalini akapate ushauri wa kisaikolojia
Back
Top Bottom