Ama kwa hakika tunavyo zungumzia unyonyaji katika Africa, inamaanisha ni Ukandamizaji,Uporaji wa rasilimali za Africa n.k. Hii inafanywa na mataifa yote yaliyoendelea yakiwemo ya Ulaya, Marekani na Asia. Hivyo hawa wote ni WANYONYAJI HAKUNA MZIMA HAPO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.